WELCOME TO TANZANIA NATIONAL ASSEMBLY OFFICIAL BLOG: CONTACT US: P.O.BOX 941 DODOMA, TANZANIA, WEBSITE: parliament.go.tz , FIND US ON FACEBOOK >>> www.facebook.com/bungetz1, FOLLOW US ON TWITTER >>> @bunge_tz.>>>KARIBUNI

Tuesday, September 27, 2016

SPIKA WA BUNGE ATEMBELEA BARAZA LA WAWAKILISHI ZANZIBAR


Spika wa Bunge Mhe Job Ndugai akiwasili Mjini  Zanzibar kwa kutumia Boti wakati alipofanya ziara ya kutembelea Baraza la Wawakilishi.

    Spika wa Bunge  Mhe Job Ndugai akisalimiana  na Spika wa Baraza la Wawakilishi Zanzibar Mhe Zuberi Ali Maulid (katikati)  alipowasili katika Ofisi za Baraza la Wawakilishi Zanzibar. Kushoto ni Naibu Spika wa Baraza hilo Mhe Mgeni Hassan Juma.

  Spika wa Bunge Mhe Job Ndugai (wa tatu toka kulia) akifuatilia kikao cha Baraza la Wawakilishi Zanzibar wakati alipowatembelea. Wapili kulia ni Spika wa Baraza hilo Mhe Zuberi Ali Maulid na wa kwanza kulia ni Naibu Spika wa Baraza hilo Mhe Mgeni Hassan Juma.

Spika wa Bunge Mhe Job Ndugai kiwasalimia Wajumbe wa Baraza la Wawakilishi Zanzibar alipotambulishwa wakati wa kikao cha Baraza hilo.

  Spika  wa Bunge Mhe Job Ndugai (katikati) akiwa katika picha ya pamoja na Spika wa Baraza la Wawakilishi Zanzibar Mhe Zuberi Ali Maulid (kushoto) na Naibu Spika wa Baraza hilo Mhe Mgeni Hassan Juma (kulia).

Spika wa Baraza la Wawakilishi  Mhe Zuberi Ali Maulid akimuelezea jambo Spika wa Bunge Mhe Job Ndugai wakati wa ziara hiyo.

Mkurugenzi Mkaazi wa Ofisi ya Bunge Zanzibar Ramadhan I. Abdallah akimuelezea jambo Spika wa Bunge Mhe Job Ndugai wakati alipotembelea Ofisi hizo. Wa kwanza kulia ni Naibu Katibu wa Bunge-Utawala Raphael Nombo

Spika wa Bunge Mhe Job Ndugai katika picha ya pamoja na Watumishi Wabunge wanaofanya kazi katika Ofisi ya Bunge-Kurugenzi ya Zanzibar.

Spika wa Bunge Mhe Job Ndugai akizungumza na Watumishi Wabunge wanaofanya kazi katika Ofisi ya Bunge-Kurugenzi ya Zanzibar.