WELCOME TO TANZANIA NATIONAL ASSEMBLY OFFICIAL BLOG: CONTACT US: P.O.BOX 941 DODOMA, TANZANIA, WEBSITE: parliament.go.tz , FIND US ON FACEBOOK >>> www.facebook.com/bungetz1, FOLLOW US ON TWITTER >>> @bunge_tz.>>>KARIBUNI

Wednesday, January 31, 2024

SPIKA DKT. TULIA AFANYA MAZUNGUMZO NA MKURUGENZI MTENDAJI WA BENKI YA AZANIA JIJINI DODOMA

Rais wa Umoja wa Mabunge Duniani (IPU) na Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Tulia Ackson, akizungumza na Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya Azania, Ndg. Esther Mang’enya alipotembelea ofisini kwake Bungeni Jijini Dodoma leo tarehe 31 Januari, 2024.

 

Pamoja na mambo mengine, Dkt. Tulia ameipongeza Benki hiyo kwa namna ambavyo imekuwa ikishiriki vyema katika kusaidia jamii na kuongeza kasi ya maendeleo nchini.


Rais wa Umoja wa Mabunge Duniani (IPU) na Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Tulia Ackson, akizungumza na Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya Azania, Ndg. Esther Mang’enya alipotembelea ofisini kwake Bungeni Jijini Dodoma leo tarehe 31 Januari, 2024. Kulia ni Mkurugenzi wa Maendeleo ya Biashara wa Benki hiyo, Dkt. Rhimo Nyansaho.

 

Pamoja na mambo mengine, Dkt. Tulia ameipongeza Benki hiyo kwa namna ambavyo imekuwa ikishiriki vyema katika kusaidia jamii na kuongeza kasi ya maendeleo nchini.


Rais wa Umoja wa Mabunge Duniani (IPU) na Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Tulia Ackson, akiwa katika picha ya pamoja na Viongozi wa Benki ya Azania wakiongozwa na Mkurugenzi Mtendaji wa Benki hiyo, Ndg. Esther Mang’enya (wa pili kushoto) baada ya mazungumzo yaliyofanyika ofisini kwake Bungeni Jijini Dodoma leo tarehe 31 Januari, 2024.

 

Pamoja na mambo mengine, Dkt. Tulia ameipongeza Benki hiyo kwa namna ambavyo imekuwa ikishiriki vyema katika kusaidia jamii na kuongeza kasi ya maendeleo nchini.

 

 

SPIKA DKT. TULIA AONGOZA KIKAO CHA KAMATI YA UONGOZI BUNGENI JIJINI DODOMA


















Rais wa Umoja wa Mabunge Duniani (IPU) na Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Tulia Ackson akiongoza kikao cha kamati ya uongozi kilichopokea na kujadili mapendekezo ya ratiba ya Mkutano wa kumi na nne wa Bunge kilichofanyika katika Ukumbi wa Spika Bungeni Jijini Dodoma.

Friday, January 19, 2024

KAMATI YA KUDUMU YA BUNGE YA VIWANDA, BIASHARA, KILIMO NA MIFUGO YAPOKEA NA KUJADILI TAARIFA YA WIZARA YA VIWANDA NA BIASHARA














Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Viwanda, Biashara na Kilimo yapokea na kujadili taarifa ya Wizara ya Viwanda na Biashara kuhusu utekelezaji wa Bajeti kwa kipindi cha Julai hadi Desemba 2023; na Utekelezaji wa Maazimio ya Bunge yaliyotokana na taarifa ya Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Viwanda, Biashara na Mazingira kuhusu Shughuli za Kamati kwa Mwaka 2022 iliyowasilishwa wakati wa Mkutano wa Kumi wa Bunge Jijini Dodoma.

KATIBU NENELWA AFANYA MAZUNGUMZO NA MKURUGENZI MTENDAJI WA HESLB JIJINI DODOMA



Katibu wa Bunge, Ndg. Nenelwa Mwihambi, ndc akizungumza na Mkurugenzi Mtendaji wa Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB), Ndg. Abdul-Razaq Badru alipomtembelea ofisini kwake Bungeni Jijini Dodoma.

Katibu wa Bunge, Ndg. Nenelwa Mwihambi, ndc akisoma machapisho aliyokabidhiwa na Mkurugenzi Mtendaji wa Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB), Ndg. Abdul-Razaq Badru (kulia), alipomtembelea ofisini kwake Bungeni Jijini Dodoma.


Katibu wa Bunge, Ndg. Nenelwa Mwihambi, ndc akiwa katika picha ya pamoja na Mkurugenzi Mtendaji wa Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB), Ndg. Abdul-Razaq Badru, alipomtembelea ofisini kwake Bungeni Jijini Dodoma.

Tuesday, January 9, 2024

VIONGOZI WA DINI, VYAMA VYA SIASA WAMEENDELEA KUTOA MAONI KUHUSU MISWADA MINNE YA SHERIA ILIYOSOMWA BUNGENI KWA MARA YA KWANZA


Mwenyekiti wa kamati ya kudumu ya Bunge ya Utawala, Katiba na Sheria, Mhe. Joseph Mhagama akiongoza kikao cha kamati hiyo kilichopokea maoni ya wadau kuhusu miswada minne ya Sheria iliyosomwa Bungeni kwa mara ya kwanza wakati wa Mkutano wa Kumi na Tatu wa Bunge leo tarehe 9 Januari, 2023 Bungeni Jijini Dodoma. Kushoto ni Makamu Mwenyekiti wa kamati hiyo, Mhe. Florent Kyombo na Katibu wa kamati hiyo, Ndg. Frank Nkya.


Askofu Mkuu Mstaafu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), Askofu Fredrick Shoo akitoa maoni wakati wa uotaji wa maoni ya wadau mbalimbali kuhusu Miswada minne ya Sheria iliyosomwa Bungeni kwa mara ya kwanza wakati wa Mkutano wa Kumi na Tatu wa Bunge leo tarehe 9 Januari, 2024 katika Ukumbi wa Msekwa Bungeni, Jijini Dodoma.




Mwenyekiti wa UWT Taifa, Mhe. Mary Chatanda akitoa maoni kwa niaba ya Chama cha Mapinduzi (CCM) wakati wa uotaji wa maoni ya wadau mbalimbali kuhusu Miswada minne ya Sheria iliyosomwa Bungeni kwa mara ya kwanza wakati wa Mkutano wa Kumi na Tatu wa Bunge leo tarehe 9 Januari, 2024 katika Ukumbi wa Msekwa Bungeni, Jijini Dodoma.



Mbunge Mstaafu na Mwakilishi kutoka NCCR Mageuzi, Mhe. Joseph Selasini akitoa maoni kuhusu miswada minne ya Sheria iliyosomwa Bungeni kwa mara ya kwanza wakati wa Mkutano wa Kumi na Tatu wa Bunge leo tarehe 9 Januari, 2023 Bungeni Jijini Dodoma.



Mjumbe wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Utawala, Katiba na Sheria na Mbunge wa Viti Maalum, Mhe. Khadija Taya akichangia jambo wakati wa utoaji wa maoni kwa wadau kuhusu miswada minne ya Sheria iliyosomwa Bungeni kwa mara ya kwanza wakati wa Mkutano wa Kumi na Tatu wa Bunge leo tarehe 9 Januari, 2023 Bungeni Jijini Dodoma.


Wajumbe wa kamati ya kudumu ya Bunge ya Utawala, Katiba na Sheria wakifuatilia maoni ya wadau kuhusu miswada minne ya Sheria iliyosomwa Bungeni kwa mara ya kwanza wakati wa Mkutano wa Kumi na Tatu wa Bunge leo tarehe 9 Januari, 2023 Bungeni Jijini Dodoma.



Wadau Mbalimbali wakifuatilia utoaji wa maoni kuhusu miswada minne ya Sheria iliyosomwa Bungeni kwa mara ya kwanza wakati wa Mkutano wa Kumi na Tatu wa Bunge leo tarehe 9 Januari, 2023 Bungeni Jijini Dodoma.


Saturday, January 6, 2024

KAMATI YA KUDUMU YA BUNGE YA UTAWALA YAPOKEA MAONI YA WADAU MBALIMBALI

Mwenyekiti wa kamati ya kudumu ya Bunge ya Utawala, Katiba na Sheria, Mhe. Joseph Mhagama akiongoza kikao cha kamati hiyo kilichopokea maoni ya wadau kuhusu miswada minne ya Sheria iliyosomwa Bungeni kwa mara ya kwanza wakati wa Mkutano wa Kumi na Tatu wa Bunge leo tarehe 6 Januari, 2023 Bungeni Jijini Dodoma. Kushoto ni Makamu Mwenyekiti wa kamati hiyo, Mhe. Florent Kyombo na Katibu wa kamati hiyo, Ndg. Frank Nkya.

Miswada hiyo ni Muswada wa Sheria ya Uchaguzi wa Rais, Wabunge na Madiwani wa Mwaka 2023; Muswada wa Sheria ya Tume ya  Taifa ya Uchaguzi wa Mwaka 2023; Muswada wa Sheria ya Marekebisho ya Sheria Mbalimbali (Na.5) wa Mwaka 2023 [The Written Laws (Miscellaneous Amendments) (No.5) Bill, 2023]; na Muswada wa Sheria ya Marekebisho ya Sheria za Vyama vya Siasa wa Mwaka 2023 [The Political Affairs Laws (Amendment) Bill, 2023]. 


Mjumbe wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Utawala, Katiba na Sheria na Mbunge wa Jimbo la Nyang’hwale, Mhe. Hussein Nassor Amar akichangia jambo wakati wa utoaji wa maoni kwa wadau kuhusu miswada minne ya Sheria iliyosomwa Bungeni kwa mara ya kwanza wakati wa Mkutano wa Kumi na Tatu wa Bunge leo tarehe 6 Januari, 2023 Bungeni Jijini Dodoma.

Miswada hiyo ni Muswada wa Sheria ya Uchaguzi wa Rais, Wabunge na Madiwani wa Mwaka 2023; Muswada wa Sheria ya Tume ya  Taifa ya Uchaguzi wa Mwaka 2023; Muswada wa Sheria ya Marekebisho ya Sheria Mbalimbali (Na.5) wa Mwaka 2023 [The Written Laws (Miscellaneous Amendments) (No.5) Bill, 2023]; na Muswada wa Sheria ya Marekebisho ya Sheria za Vyama vya Siasa wa Mwaka 2023 [The Political Affairs Laws (Amendment) Bill, 2023]. 


Kiongozi wa Chama cha ACT- Wazalendo, Mhe. Zitto Kabwe akitoa maoni kuhusu Muswada wa Sheria ya Tume ya Taifa ya Uchaguzi wa Mwaka 2023; wakati wa utoaji wa maoni ya wadau kuhusu miswada minne ya Sheria iliyosomwa Bungeni kwa mara ya kwanza wakati wa Mkutano wa Kumi na Tatu wa Bunge leo tarehe 6 Januari, 2023 Bungeni Jijini Dodoma.

Wajumbe wa kamati ya kudumu ya Bunge ya Utawala, Katiba na Sheria wakifuatilia maoni ya wadau kuhusu miswada minne ya Sheria iliyosomwa Bungeni kwa mara ya kwanza wakati wa Mkutano wa Kumi na Tatu wa Bunge leo tarehe 6 Januari, 2023 Bungeni Jijini Dodoma.

Miswada hiyo ni Muswada wa Sheria ya Uchaguzi wa Rais, Wabunge na Madiwani wa Mwaka 2023; Muswada wa Sheria ya Tume ya  Taifa ya Uchaguzi wa Mwaka 2023; Muswada wa Sheria ya Marekebisho ya Sheria Mbalimbali (Na.5) wa Mwaka 2023 [The Written Laws (Miscellaneous Amendments) (No.5) Bill, 2023]; na Muswada wa Sheria ya Marekebisho ya Sheria za Vyama vya Siasa wa Mwaka 2023 [The Political Affairs Laws (Amendment) Bill, 2023]. 



Wadau Mbalimbali wakifuatilia utoaji wa maoni kuhusu miswada minne ya Sheria iliyosomwa Bungeni kwa mara ya kwanza wakati wa Mkutano wa Kumi na Tatu wa Bunge leo tarehe 6 Januari, 2023 Bungeni Jijini Dodoma.

Miswada hiyo ni Muswada wa Sheria ya Uchaguzi wa Rais, Wabunge na Madiwani wa Mwaka 2023; Muswada wa Sheria ya Tume ya  Taifa ya Uchaguzi wa Mwaka 2023; Muswada wa Sheria ya Marekebisho ya Sheria Mbalimbali (Na.5) wa Mwaka 2023 [The Written Laws (Miscellaneous Amendments) (No.5) Bill, 2023]; na Muswada wa Sheria ya Marekebisho ya Sheria za Vyama vya Siasa wa Mwaka 2023 [The Political Affairs Laws (Amendment) Bill, 2023].