WELCOME TO TANZANIA NATIONAL ASSEMBLY OFFICIAL BLOG: CONTACT US: P.O.BOX 941 DODOMA, TANZANIA, WEBSITE: parliament.go.tz , FIND US ON FACEBOOK >>> www.facebook.com/bungetz1, FOLLOW US ON TWITTER >>> @bunge_tz.>>>KARIBUNI

Friday, February 3, 2017

SPIKA WA BUNGE MHE. JOB NDUGAI ASHIRIKI MAADHIMISHO YA SIKU YA SHERIA JIJINI DAR ES SALAAM

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Joseph Magufuli akimkabidhi Spika wa Bunge Mhe Job Ndugai nakala ya ripoti ya mahakama kuhusu kesi za uchaguzi kutoka kwa Kaimu Jaji Mkuu wa Tanzania Profesa Ibrahim Hamisi Juma (kulia) wakati kuadhimisha siku ya Sheria Nchini iliyoambatana na uzinduzi wa Mwaka Mpya wa Kimahakama katika viwanja vya Mahakama vya Mtaaa wa Chimala Ocean Road jijini Dar es Salaam.

Spika wa Bunge Mhe. Mhe Job Ndugai akitoa salamu kwa niaba ya Bunge baada ya kukaribishwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Joseph Magufuli wakati wa maadhimisho ya Siku ya Sheria Nchini katika viwanja vya Mahakama vya Mtaaa wa Chimala Ocean Road jijini Dar es salaam.Kushoto kwake ni Jaji Mkuu wa Zanzibar Mhe. Omar Othman Makungu

Spika wa Bunge Mhe. Mhe Job Ndugai akitoa salamu kwa niaba ya Bunge baada ya kukaribishwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Joseph Magufuli wakati wa maadhimisho ya Siku ya Sheria Nchini katika viwanja vya Mahakama vya Mtaaa wa Chimala Ocean Road jijini Dar es salaam. Kushoto kwake ni Jaji Mkuu wa Zanzibar Mhe. Omar Othman Makungu

Spika wa Bunge Mhe. Mhe Job Ndugai akiagana na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Joseph Magufuli mara baada ya maadhimisho ya Siku ya Sheria Nchini yaliyofanyika katika viwanja vya Mahakama vya Mtaaa wa Chimala Ocean Road jijini Dar es salaam

Spika wa Bunge Mhe. Job Ndugai akiwa katika Picha ya pamoja na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Joseph Magufuli, Kaimu Jaji Mkuu wa Tanzania Profesa Ibrahim Hamisi Juma, pamoja na majaji wengine wa Mahakama wakati maadhimisho ya Siku ya Sheria Nchini yaliyofanyika katika viwanja vya Mahakama vya Mtaaa wa Chimala Ocean Road jijini Dar es salaam

Wednesday, February 1, 2017

WABUNGE WANNE WAPYA WALA KIAPO CHA UAMINIFU


  Mhe. Alhaji Abdallah Majura Bulembo (Mbunge wa Kuteuliwa na Mhe Rais) akila Kiapo cha Uaminifu mbele ya Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe Job Y. Ndugai.
 Mhe. Ali Juma Ali - ( Mbunge wa Jimbo la Dimani) akila Kiapo cha Uaminifu.

 
 Mhe. Prof. Palamagamba John Kabudi (Mbunge wa Kuteuliwa na Mhe Rais) akila Kiapo cha Uamimifu
Mhe. Anne Kilango Malecela(Mbunge wa Kuteuliwa na Mhe Rais) akila kiapo cha Uaminifu