WELCOME TO TANZANIA NATIONAL ASSEMBLY OFFICIAL BLOG: CONTACT US: P.O.BOX 941 DODOMA, TANZANIA, WEBSITE: parliament.go.tz , FIND US ON FACEBOOK >>> www.facebook.com/bungetz1, FOLLOW US ON TWITTER >>> @bunge_tz.>>>KARIBUNI

Wednesday, June 29, 2022

SPIKA DKT. TULIA MGENI RASMI UFUNGUZI WA KONGAMANO MAALUM LA VIONGOZI WA DINI LA KUHAMASISHA SENSA YA WATU NA MAKAZI.

 




Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Tulia Ackson, akifungua kongamano maalum la Viongozi wa dini la kuhamasisha sensa ya watu na makazi lililofanyika katika Ukumbi wa Mikutano wa Kimataifa wa Julius Nyerere Jijini Dar es Salaam, leo Juni 29, 2022 


Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Tulia Ackson, pamoja na Spika Mstaafu wa Bunge, Mhe. Anne Makinda wakishiriki katika ufunguzi wa kongamano maalum la Viongozi wa dini la kuhamasisha sensa ya watu na makazi lililofanyika katika Ukumbi wa Mikutano wa Kimataifa wa Julius Nyerere Jijini Dar es Salaam, leo Juni 29, 2022