WELCOME TO TANZANIA NATIONAL ASSEMBLY OFFICIAL BLOG: CONTACT US: P.O.BOX 941 DODOMA, TANZANIA, WEBSITE: parliament.go.tz , FIND US ON FACEBOOK >>> www.facebook.com/bungetz1, FOLLOW US ON TWITTER >>> @bunge_tz.>>>KARIBUNI

Tuesday, July 7, 2020

WANANCHI WENGI WAVUTIWA NA BANDA LA BUNGE MAONYESHO YA SABASABA

Afisa Mwandamizi wa Bunge Ndg. Louise Mdachi akitoa Elimu kwa wageni mbalimbali waliofika kutembelea Banda la Bunge kwenye Maonyesho ya Sabasaba Jijini Dar Es Salaam hii leo. 

Afisa wa Bunge Ndg. Peter Magati akitoa Elimu kwa wageni mbalimbali waliofika kutembelea Banda la Bunge kwenye Maonyesho ya Sabasaba Jijini Dar Es Salaam hii leo.

Afisa wa Bunge Ndg. Rehema Kipera akitoa Elimu kwa wageni mbalimbali waliofika kutembelea Banda la Bunge kwenye Maonyesho ya Sabasaba Jijini Dar Es Salaam hii leo.

Sunday, July 5, 2020

WANANCHI MBALIMBALI WAENDELEA KUTEMBELEA BANDA LA BUNGE SABASABA

Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na  Ushirikiano wa Kimataifa Dkt. Damas Ndumbalo akisaini Kitabu cha Mahudhurio ya Wageni Mahsusi wanatembelea Banda la Bunge ili kupata Elimu kuhusiana Shughuli za Mhimili huu wa Kutunga Sheria. 

Afisa wa Bunge Ndg. Amina Salum akitoa ufafanuzi kwa Wageni mbalimbali wanaofika kwenye Banda la Bunge ili kupata Elimu kuhusiana Shughuli za Mhimili huu wa Kutunga Sheria. 

Afisa wa Bunge Ndg. Katherine Kaihula akitoa ufafanuzi kwa Wageni mbalimbali wanaofika kwenye Banda la Bunge ili kupata Elimu kuhusiana Shughuli za Mhimili huu wa Kutunga Sheria. 

Afisa wa Bunge Ndg. Zanele Chiza akifafanua jambo kwa Wageni mbalimbali wanaofika kwenye Banda la Bunge ili kupata Elimu kuhusiana Shughuli za Mhimili huu wa Kutunga Sheria.