WELCOME TO TANZANIA NATIONAL ASSEMBLY OFFICIAL BLOG: CONTACT US: P.O.BOX 941 DODOMA, TANZANIA, WEBSITE: parliament.go.tz , FIND US ON FACEBOOK >>> www.facebook.com/bungetz1, FOLLOW US ON TWITTER >>> @bunge_tz.>>>KARIBUNI

Saturday, September 2, 2023

MATUKIO KATIKA PICHA YALIYOJIRI WAKATI WA NMB BUNGE BONANZA









Matukio katika picha yaliyojiri wakati wa NMB Bunge Bonanza  katika michezo ya Mpira wa Wavu, Kurusha Tufe, Karata, Draft na Pool Table leo tarehe 2 Septemba, 2023 katika viwanja vya Shule ya Sekondari John Merlin, Jijini Dodoma.

Katika michezo hiyo, mgeni rasmi alikuwa ni Spika wa Baraza la Wawakilishi Zanzibar, Mhe. Zubeir Ali Maulid.