WELCOME TO TANZANIA NATIONAL ASSEMBLY OFFICIAL BLOG: CONTACT US: P.O.BOX 941 DODOMA, TANZANIA, WEBSITE: parliament.go.tz , FIND US ON FACEBOOK >>> www.facebook.com/bungetz1, FOLLOW US ON TWITTER >>> @bunge_tz.>>>KARIBUNI

Friday, June 30, 2017

KAMATI YA BUNGE YA PAMOJA YAKUTANA KUJADILI MISWADA KUHUSIANA NA ULINZI WA RASILIMALI ZA NCHI


Waziri wa Katiba na Sheria, Mheshimiwa Profesa Paramagamba Kabudi akitoa maelezo ya miswada inayohusu na usimamizi wa maliasili za Nchi katika kikao cha Kamati ya Bunge ya Pamoja kiilichofanyika Mjini Dodoma leo Katika Ukumbi wa Msekwa

Spika wa Bunge, Mheshimiwa Job Ndugai akifuatilia mjadala katika kikao cha Kamati ya Bunge ya Pamoja iliyokuwa ikijadili miswada miwili ya sheria  kuhusiana na usimamizi wa maliasili za Nchi.kikao hicho kilifanyika Mjini Dodoma leo Katika Ukumbi wa Msekwa.
Attachments area


Spika wa Bunge, Mheshimiwa Job Ndugai akiendelea kufuatilia mjadala katika kikao hicho.
Attachments area
Mwenyekti wa Kamati ya Bunge ya Nishati na Madini, Mheshimiwa Doto Biteko akizungumza jambo wakati wa Kikao cha Kamati ya Bunge ya Pamoja ya kujadili miswada miwili ya sheria. Kikao hicho kimefanyika leo Mjini Dodoma katika Ukumbi wa Msekwa

Wabunge wakifuatilia mjadala 
 

Thursday, June 29, 2017

TAARIFA KWA UMMA KUHUSU WITO WA WADAU KUJA KUTOA MAONI JUU YA MISWADA MITATU YA SHERIA


BUNGE LAONGEZA SIKU KWA AJILI YA KUCHAMBUA MISWADA YA SHERIA ZA ULINZI WA RASLIMALI ZA TAIFA


KAMATI YA UONGOZI YA BUNGE YAKUTANA

Spika wa Bunge, Mheshimiwa Job Ndugai akiongoza Kikao cha Kamati ya Uongozi kilichokutana jana usiku katika Ofisi za Bunge Mjini Dodoma, kulia ni Waziri wa Nchi,Ofisi ya Waziri Mkuu, Sera, Bunge,Kazi, Vijana,Ajira na Wenye Ulemavu, Mheshimiwa Jenista Mhagama na kushoto ni Katibu wa Bunge, Dkt. Thomas Kashililah

Wajumbe wa Kamati ya Uongozi ya Bunge wakiwa tayari kwa ajili ya kuanza kwa kikao cha Kamati hiyo kilichofanyika jana usiku katika Ofisi za Bunge Mjini Dodoma.
Kikao cha Kamati ya Uongozi kikiendelea
Wajumbe wakiendelea na Kikao Cha Kamati ya Uongozi

Wednesday, June 28, 2017

SPIKA NDUGAI AGAWA VITABU KWA SHULE ZA SEKONDARI ZILIZOPO WILAYANI KOGWA

Spika wa Bunge Mhe Job  Ndugai (wa pili kushoto) akizungumza na Wazazi wa Wanafunzi wanaosoma katika Shule ya Sekondari Laikala iliyopo Wilayani Kongwa, Dodoma wakati wa zoezi la kugawa Vitabu shuleni hapo  vilivyotolewa na Mtandao Kuondoa Umasikini, kushoto ni Meneja wa Mtandao huo Ndg. Peter Yobwa.



Spika wa Bunge Mhe Job Ndugai (wa tatu kulia) akizungumza na wanafunzi wa Shule ya Sekondari Ibwaga iliyopo Wilayani Kongwa, Dodoma baada ya kugawa vitabu shuleni hapo, vitabu hivyo  vimetolewa na Mtandao wa kuondoa Umasikini. Kulia kwa Spika ni Mweyekiti wa Mtandao huo Ndg. Mungwe Athuman  na kushoto kwake ni Meneja wa Mtandao huo Ndg. Peter Yobwa. Zoezi la ugwaji wa vitabu hivyo lilianza  toka wiki iliyopita ambapo takribani shule thelathini za Sekondari zilizopo Wilaya ya Kogwa, Dodoma zimenufaika na msaada huo.



Spika wa Bunge Mhe Job Ndugai (wa tatu kulia) akizungumza na wanafunzi wa Shule ya Sekondari Ibwaga iliyopo Wilayani Kongwa, Dodoma baada ya kugawa vitabu shuleni hapo, vitabu hivyo  vimetolewa na Mtandao wa kuondoa Umasikini. Kulia kwa Spika ni Mweyekiti wa Mtandao huo Ndg. Mungwe Athuman  na kushoto kwake ni Meneja wa Mtandao huo Ndg. Peter Yobwa. Zoezi la ugwaji wa vitabu hivyo lilianza  toka wiki iliyopita ambapo takribani shule thelathini za Sekondari zilizopo Wilaya ya Kogwa, Dodoma zimenufaika na msaada huo.

  Spika wa Bunge, Mhe. Job Ndugai, pamoja na Mwenyekiti wa Mtandao wa Kuondoa Umasikini Ndg. Mungwe Athuman (kulia) wakimkabidhi  kitabu Kaimu Mkuu wa Shule ya Sekondari Manghweta Ndg. Elinetha Kimaro (kushoto) wakati wakigawa vitabu Mbali mbali kwa Shule za Sekondari zilizopo Wilayani Kongwa Mkoani Dodoma. 
Spika wa Bunge Mhe Job Ndugai (wa pili kulia) pamoja na Mwenyekiti wa Mtandao wa Kuondoa Umasikini Ndg. Mungwe Athumani (kulia) wakikabidhi vitabu kwa Mwl. Mkuu wa Shule ya sekondari Iduo Ndg. Cathbert Kalindo, Shule iliyopo Wilaya ni Kongwa Mkoani Dodoma.

Friday, June 23, 2017

SPIKA WA BUNGE AKABIDHI VITABU KWA SHULE TISA ZA SEKONDARI ZILIZOPO KONGWA, DODOMA

 Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe Job Ndugai (katikati) akimkabidhi vitabu Makamu Mkuu wa  Shule ya sekondari Sejeli Ndg.Gerald Kagali. Spika Ndugai alikabidhi vitabu hivyo kwa shule tisa zilizopo Wilayani Kogwa, Dodoma ambapo  Vitabu hivyo ni msaada uliotolewa na Mtandao wa kuondoa Umasikini Nchini. Kushoto ni Mwenyekiti wa Mtandao huo Ndg.  Mungwe Athuman




Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe Job Ndugai  (kushoto) akishuhudia Mwenyeti wa Mtandao wa Kuondoa Umasikini Nchini, Ndg.Mungwe Athuman akimkabidhi kitabu Mwalimu mkuu wa  Shule ya Sekondari Banyibanyi Mwl.Grace Mbise.Kulia ni Meneja wa Mtandao huo Ndg. Peter Yobwa



Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe Job Ndugai  akizungumza na wanafunzi wa Shule ya sekondari ya Banyibanyi iliyopo wilaya ya kongwa Mkoa wa Dodoma, baada ya kuwapatia vitabu vilivyotolewa na Mtandao wa Kuondoa Umasikini Nchini.


Spika wa Bunge la Jamhuri ya muungano wa Tanzania Mhe  Job Ndugai (wa tatu kushoto waliosimama nyuma)katika  picha ya pamoja na wanafunzi wa Shule ya sekondari Banyibanyi, baada ya kuwakabidhi vitabu.

Thursday, June 22, 2017

SPIKA APOKEA MSAADA WA VITABU 950 KUTOKA MTANDAO WA PEN.TRUST


Spika wa Bunge, Mheshimiwa Job Ndugai akipokea msaada wa vitabu kutoka kwa Mwenyekiti wa Mtandao wa Kuondoa Umasikini (PEN.TRUST),katikati ni Ndg. Mungwe Athman na kushoto ni Meneja wa Mtandao huo Ndg. Peter Yobwa.wanaoshuhudia tukio hilo nyuma ni Wajumbe wa Tume ya Utumishi wa Bunge wakiongozwa na Ndg. Mussa Azzan Zungu(nyuma kulia). tukio lilimefanyika leo Ofisini kwake Mjini Dodoma.


Spika wa Bunge, Mheshimiwa Job Ndugai akikata utepe ili aweze kufungua  boksi lenye vitabu alivyokabidhiwa na Mtandao wa Kuondoa Umasikini kwa ajili ya Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Spika wa Bunge, Mheshimiwa Job Ndugai akionyesha moja ya kitabu alichokabidhiwa na Mtandao wa Kuondoa Umasikini kwa ajili ya Bunge, kushoto ni Mwenyekiti wa Mtandao huo Ndg. Mungwe Athman na kulia ni Mjumbe wa Tume ya Utumishi ya Bunge Mheshimiwa Peter Msigwa


Spika wa Bunge, Mheshimiwa Job Ndugai akizungumza baada ya makabidhiano ya vitabu kwa Bunge  la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Msaada uliotolewa na Mtandao wa Kuondoa Umasikini,.


Spika wa Bunge, Mheshimiwa Job Ndugai  akisalimiana na  Mwenyekiti wa Mtandao wa kuondoa umasikini, Ndg. Mungwe Athman (kushoto)kabla ya Makabidhiano ya vitabu kutoka kwa Mwenyekiti wa Mtandao huo, tukio lililofanyika leo Ofisini kwake Mjini Dodoma.