WELCOME TO TANZANIA NATIONAL ASSEMBLY OFFICIAL BLOG: CONTACT US: P.O.BOX 941 DODOMA, TANZANIA, WEBSITE: parliament.go.tz , FIND US ON FACEBOOK >>> www.facebook.com/bungetz1, FOLLOW US ON TWITTER >>> @bunge_tz.>>>KARIBUNI

Thursday, August 13, 2020

WATUMISHI WA KITENGO CHA TEHAMA WAPEWA MAFUNZO KUHUSU MFUMO WA KADI YA TATHIMINI NA UWAJIBIKAJI WA MALARIA



Watumishi wa Kitengo cha TEHAMA wa Ofisi ya Bunge wakipatiwa mafunzo kuhusu mfumo wa Kadi ya Tathimini na Uwajibikaji wa Malaria kutoka kwa Ndugu Khalifa Munisi. Mafunzo hayo yameandaliwa na Umoja wa Wabunge walio katika Mapambano dhidi ya Malaria (TAPAMA) kwa kushirikiana na Wizara ya Afya kupitia Programu ya Taifa ya Kupambana na Kutokomeza Malaria pamoja na Sekretarieti ya Maraisi na Viongozi wa Afrika walioungana kupambana na Malaria. Lengo la kuwajengea uwezo watumishi wa kitengo hicho ili waweze kuiwasaidia wabunge kutumia Kadi hiyo kupitia kwenye vishikwambi (‘tablet’) vyao.

Mafunzo yakiendelea katika Ukumbi wa Msekwa B

Mafunzo yakiendelea