WELCOME TO TANZANIA NATIONAL ASSEMBLY OFFICIAL BLOG: CONTACT US: P.O.BOX 941 DODOMA, TANZANIA, WEBSITE: parliament.go.tz , FIND US ON FACEBOOK >>> www.facebook.com/bungetz1, FOLLOW US ON TWITTER >>> @bunge_tz.>>>KARIBUNI

Tuesday, February 28, 2023

WAZIRI MKUU MAJALIWA AFUNGUA MAFUNZO YA KAMATI YA UONGOZI NA MAKAMU WENYEVITI WA KAMATI ZA KUDUMU ZA BUNGE TUNGUU, ZANZIBAR


Waziri Mkuu, Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Spika wa Bunge, Mhe. Dkt. Tulia Ackson kabla ya kufungua mafunzo ya kamati ya uongozi na Makamu Wenyeviti wa Kamati za Kudumu za Bunge katika ofisi ndogo za Bunge Tunguu, Zanzibar



Waziri Mkuu, Mhe. Kassim Majaliwa akifungua mafunzo ya kamati ya uongozi na Makamu Wenyeviti wa Kamati za Kudumu za Bunge yaliyofanyika leo tarehe 28 Februari, 2023 katika ofisi ndogo za Bunge Tunguu, Zanzibar, Kulia ni Spika wa Bunge, Mhe. Dkt. Tulia Ackson na Mkuu wa Mkoa wa Kusini Unguja, Mhe. Rashid Hadidi




Spika wa Bunge, Mhe. Dkt. Tulia Ackson akitoa neno la kumkaribisha mgeni rasmi wakati wa ufunguzi wa mafunzo ya kamati ya uongozi na Makamu Wenyeviti wa Kamati za Kudumu za Bunge uliofanyika leo tarehe 28 Februari, 2023 katika ofisi ndogo za Bunge Tunguu, Zanzibar, Kulia ni Waziri Mkuu, Mhe. Kassim Majaliwa na Mkuu wa Mkoa wa Kusini Unguja, Mhe. Rashid Hadidi.




Wajumbe wa Kamati ya uongozi na Makamu Wenyeviti wa Kamati za Kudumu wakishiriki katika ufunguzi wa mafunzo ya kamati hizo zilizofanyika leo tarehe 28 Februari, 2023 katika ofisi ndogo za Bunge Tunguu, Zanzibar




Waziri Mkuu, Mhe. Kassim Majaliwa akiwa katika picha ya pamoja na Kamati ya uongozi na Makamu Wenyeviti wa Kamati za Kudumu za Bunge mara baada ya kufungua mafunzo ya kamati ya uongozi na Makamu Wenyeviti wa Kamati za Kudumu za Bunge yaliyofanyika leo tarehe 28 Februari, 2023 katika ofisi ndogo za Bunge Tunguu, Zanzibar, Waliokaa Kulia kwake ni Spika wa Bunge, Mhe. Dkt. Tulia Ackson, Katibu wa Bunge, Ndg. Nenelwa Mwihambi, ndc (kulia), Mbunge wa Viti Maalum, Mhe. Riziki Lulida (kushoto) na Mkuu wa Mkoa wa Kusini Unguja, Mhe. Rashid Hadidi



Waziri Mkuu, Mhe. Kassim Majaliwa akiwa katika picha ya pamoja na Watumishi wa Ofisi ya Bunge mara baada ya kufungua mafunzo ya kamati ya uongozi na Makamu Wenyeviti wa Kamati za Kudumu za Bunge yaliyofanyika leo tarehe 28 Februari, 2023 katika ofisi ndogo za Bunge Tunguu, Zanzibar, Waliokaa Kulia kwake ni Spika wa Bunge, Mhe. Dkt. Tulia Ackson, Katibu wa Bunge, Ndg. Nenelwa Mwihambi, ndc (kulia), Mbunge wa Viti Maalum, Mhe. Riziki Lulida (kushoto) na Mkuu wa Mkoa wa Kusini Unguja, Mhe. Rashid Hadidi



Waziri Mkuu, Mhe. Kassim Majaliwa akisalimiana na Spika wa Bunge, Mhe. Dkt. Tulia Ackson kabla ya kufungua mafunzo ya kamati ya uongozi na Makamu Wenyeviti wa Kamati za Kudumu za Bunge yaliyofanyika leo tarehe 28 Februari, 2023 katika ofisi ndogo za Bunge Tunguu, Zanzibar


 

Monday, February 27, 2023

SPIKA DKT. TULIA AONGOZA MAFUNZO YA KAMATI YA UONGOZI NA MAKAMU WENYEVITI WA KAMATI ZA BUNGE




Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Uongozi, Mhe. Dkt. Tulia Ackson akiongoza mafunzo ya kamati ya uongozi na Makamu Wenyeviti wa Kamati za Kudumu za Bunge yaliyofanyika leo tarehe 27 Februari, 2023 katika ofisi ndogo za Bunge Tunguu, Zanzibar


Spika wa Baraza la Wawakilishi Zanzibar, Mhe. Zubeir Ali Maulid akitoa neno la ukaribisho kwa Wajumbe wakati wa mafunzo ya Kamati ya uongozi na Makamu Wenyeviti wa Kamati za Kudumu za Bunge yaliyofanyika leo tarehe 27 Februari, 2023 katika ofisi ndogo za Bunge Tunguu, Zanzibar, Katikati ni Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Uongozi, Mhe. Dkt. Tulia Ackson na Spika Mstaafu wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Anne Makinda



Katibu wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Ndg. Nenelwa Mwihambi, ndc akitoa neno la utangulizi wakati wa mafunzo ya Kamati ya uongozi na Makamu Wenyeviti wa Kamati za Kudumu za Bunge yaliyofanyika leo tarehe 27 Februari, 2023 katika ofisi ndogo za Bunge Tunguu, Zanzibar



Spika Mstaafu wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Anne Makinda akitoa mada kuhusu Madaraka, Majukumu, Mipaka ya Utendaji Kazi, Uzoefu na Changamoto katika Uendeshaji wa Kamati za Bunge wakati wa  mafunzo ya Kamati ya uongozi na Makamu Wenyeviti wa Kamati za Kudumu za Bunge yaliyofanyika leo tarehe 27 Februari, 2023 katika ofisi ndogo za Bunge Tunguu, Zanzibar



Mkufunzi wa Mafunzo Kutoka Taasisi ya Uongozi (Uongozi Institute), Ndg. Zuhura Muro akitoa mada kuhusu Uongozi wa Kimkakati katika uendeshaji wa Shughuli za Bunge wakati wa mafunzo ya Kamati ya uongozi na Makamu Wenyeviti wa Kamati za Kudumu za Bunge yaliyofanyika leo tarehe 27 Februari, 2023 katika ofisi ndogo za Bunge Tunguu, Zanzibar






Wajumbe wa Kamati ya uongozi na Makamu Wenyeviti wa Kamati za Kudumu za Bunge wakiwa katika mafunzo kuhusu Madaraka, Majukumu, Mipaka ya Utendaji Kazi, Uzoefu na Changamoto katika Uendeshaji wa Kamati za Bunge na Uongozi wa Kimkakati katika uendeshaji wa Shughuli za Bunge yaliyofanyika leo tarehe 27 Februari, 2023 katika ofisi ndogo za Bunge Tunguu, Zanzibar