WELCOME TO TANZANIA NATIONAL ASSEMBLY OFFICIAL BLOG: CONTACT US: P.O.BOX 941 DODOMA, TANZANIA, WEBSITE: parliament.go.tz , FIND US ON FACEBOOK >>> www.facebook.com/bungetz1, FOLLOW US ON TWITTER >>> @bunge_tz.>>>KARIBUNI

Wednesday, May 29, 2019

BUNGE LAPITISHA BAJETI YA WIZARA YA NISHATI


KUELEKEA BAJETI KUU TAREHE 13-06-2019


KAMATI YA MIUNDOMBINU YAFANYA TATHIMINI YA MIRADI WALIYOIKAGUA

Wajumbe wa Kamati ya Miundombinu wakiwa katika kikao cha kufanya ya tathimini ya utekelezaji wa ziara za kukagua miradi zilizofanywa na Kamati hiyo katika kipindi cha mwaka 2018/2019 kilichofanyika katika Ofisi za Bunge Jijini Dodoma.


Katibu wa Kamati ya Miundombinu,Hosiana John akisoma taarifa ya tathimini ya utekelezaji wa ziara za kukagua miradi zilizofanywa na Kamati hiyo katika kipindi cha mwaka 2018/2019 kkwenye kikao cha kamati hiyo kilichofanyika katika Ofisi za Bunge Jijini Dodoma.

Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Miundombinu, Mhe. Moshi Kakoso akizungumza katika kikao cha kamati hiyo kilichofanyika katika Ofisi za Bunge Jijini Dodoma, Kamati ilikutana kwa ajili tathimini ya utekelezaji wa ziara zake za kukagua miradi kwa mwaka 2018/2019.

Wajumbe wa Kamati ya Miundombinu wakiendelea na katika kikao

Tuesday, May 28, 2019

WAJUMBE WA BODI YA LSP WAKUTANA

Wajumbe wa Bodi ya Mradi wa Kulijengea Bunge Uwezo Awamu ya Pili (LSP II) wakiwa katika kikao cha Bodi kilichofanyika Katika Ukumbi wa Spika Jijini Dodoma kikao hicho kiliongozwa na Naibu Spika, Mhe. Dkt.Tulia Ackoson na Kaimu Mkurugenzi Mkazi wa Shirika la Maendeleo la Umoja wa Mataifa (UNDP), Ndugu Verity Nyagah

Wajumbe wa Bodi ya Mradi wa Kulijengea Bunge Uwezo Awamu ya Pili (LSP II) wakiwa katika kikao cha Bodi kilichofanyika Katika Ukumbi wa Spika Jijini Dodoma kikao hicho kiliongozwa na Naibu Spika, Mhe. Dkt.Tulia Ackoson na Kaimu Mkurugenzi Mkazi wa Shirika la Maendeleo la Umoja wa Mataifa (UNDP), Ndugu Verity Nyagah

Kaimu Mkurugenzi Mkazi wa Shirika la Maendeleo la Umoja wa Mataifa (UNDP), Ndugu Verity Nyagah kizungumza  katika kikao cha Bodi ya Mradi wa Kulijengea Bunge Uwezo Awamu ya Pili (LSP II)  kilichofanyika Katika Ukumbi wa Spika Jijini Dodoma, kulia ni Naibu Spika, Mhe. Dkt.Tulia Ackoson

NAIBU SPIKA AFANYA MAZUNGUMZO NA KAIMU MKURUGENZI MKAZI WA UNDP


Naibu Spika wa Bunge, Mhe. Dkt. Tulia Ackson akizungumza na Kaimu Mkurugenzi Mkazi wa Shirika la Maendeleo la Umoja wa Mataifa (UNDP), Ndugu Verity Nyagah alipomtembelea ofisini kwake Bungeni Jijini Dodoma.

Naibu Spika wa Bunge, Mhe. Dkt. Tulia Ackson akizungumza na Kaimu Mkurugenzi Mkazi wa Shirika la Maendeleo la Umoja wa Mataifa (UNDP), Ndugu Verity Nyagah alipomtembelea ofisini kwake Bungeni Jijini Dodoma. Mkurugenzi huyo aliambatana na viongozi mbalimbali wanaosimamia Mradi wa Kulijengea Bunge Uwezo (LSP)

Naibu Spika wa Bunge, Mhe. Dkt. Tulia Ackson akizungumza na Kaimu Mkurugenzi Mkazi wa Shirika la Maendeleo la Umoja wa Mataifa (UNDP), Ndugu Verity Nyagah alipomtembelea ofisini kwake Bungeni Jijini Dodoma.

KATIBU WA BUNGE ATEMBELEWA NA MKURUGENZI UNDP

Katibu wa Bunge, Ndugu Stephen Kagaigai akizungumza na Kaimu Mkurugenzi Mkazi wa Shirika la Maendeleo la Umoja wa Mataifa (UNDP), Bi Verity Nyagah alipomtembelea ofisini kwake Bungeni Jijini Dodoma. Mkurugenzi huyo aliambatana na viongozi mbalimbali wanaosimamia Mradi wa Kulijengea Bunge Uwezo (LSP)

Katibu wa Bunge, Ndugu Stephen Kagaigai akizungumza na Kaimu Mkurugenzi Mkazi wa Shirika la Maendeleo la Umoja wa Mataifa (UNDP), Bi Verity Nyagah alipomtembelea ofisini kwake Bungeni Jijini Dodoma. Mkurugenzi huyo aliambatana na viongozi mbalimbali wanaosimamia Mradi wa Kulijengea Bunge Uwezo (LSP)

Katibu wa Bunge, Ndugu Stephen Kagaigai akizungumza na Kaimu Mkurugenzi Mkazi wa Shirika la Maendeleo la Umoja wa Mataifa (UNDP), Bi Verity Nyagah alipomtembelea ofisini kwake Bungeni Jijini Dodoma.

Friday, May 24, 2019

NAIBU SPIKA AFUNGUA MAFUNZO KWA WABUNGE WANAWAKE


Naibu Spika wa Bunge, Mhe.Dkt. Tulia Ackson akifungua mafunzo kwa wajumbe wa Chama Cha Wabunge Wanawake (TWPG) yaliyofanyika katika Ukumbi wa Msekwa Jijini Dodoma. Kushoto ni Mwenyekiti wa TWPG, Mhe. Magreth Sitta na kulia ni Makamu Mwenyekiti wa TWPG, Mhe. Susan Lyimo.

Naibu Spika wa Bunge, Mhe.Dkt. Tulia Ackson akifungua mafunzo kwa wajumbe wa Chama Cha Wabunge Wanawake (TWPG) yaliyofanyika katika Ukumbi wa Msekwa Jijini Dodoma. 

Mwenyekiti wa Chama Cha Wanawake Wabunge (TWPG) akimkaribisha Naibu Spika wa Bunge, Mhe.Dkt. Tulia Ackson kufungua mafunzo kwa wajumbe wa Chama Cha Wabunge Wanawake (TWPG) yaliyofanyika katika Ukumbi wa Msekwa Jijini Dodoma.
 
Mtaalamu wa Masuala ya Jinsia, Ndugu Fortunata Temu akitoa mada kuhusiana uelewa wa sera na sheria zinazohusu masuala ya kijinsia katika mafunzo kwa wajumbe wa Chama cha Wanawake Wabunge (TWPG) yaliyofanyika katika Ukumbi wa Msekwa Jijini Dodoma

Thursday, May 23, 2019

KAMATI YA HUDUMA NA MAENDELEO YA JAMII YAPATIWA MAFUNZO KUHUSU UTEKELEZAJI WA LENGO NAMBA 4 LA MAENDELEO ENDELEVU

Katibu wa Kamati ya Huduma na Maendeleo ya Jamii, Agness Nkwera akitoa mada kuhusu Utekelezaji wa Lengo Namba 4 la Maendeleo Endelevu katika kikao cha Kamati hiyo kilichofanyika katika Ofisi za Bunge Jijini Dodoma.

Mjumbe wa Kamati ya Huduma na Maendeleo ya Jamii, Mhe. Susan Lyimo akichangia mada kuhusu kuhusu Utekelezaji wa Lengo Namba 4 la Maendeleo Endelevu katika kikao cha Kamati hiyo kilichofanyika katika Ofisi za Bunge Jijini Dodoma.

Wajumbe wa Kamati ya Huduma na Maendeleo ya Jamii, wakiwa katika kikao cha Kamamti hiyo.kilichofanyika katika Ofisi za Bunge Jijini Dodoma.



Kaimu Mwenyekiti wa Kamati ya Huduma na Maendeleo ya Jamii, Mhe. John Kadutu akizungumza katika kikao cha Kamati hiyo kilichofanyika katika Ofisi za Bunge Jijini Dodoma.


KAMATI YA PAC IKIWA KATIKA KIKAO BUNGENI JIJINI DODOMA


Kamati ya Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC) wakiongozwa na Mwenyekiti wa Kamati hiyo, Mhe. Naghenjwa Kaboyoka na Makamu Mwenyekiti, Mhe. Aeshi Hilal wakiwa katika kikao cha Kamati hiyo kilichofanyika katika Ofisi za Bunge Jijini Dodoma

Kamati ya Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC) wakiongozwa na Mwenyekiti wa Kamati hiyo, Mhe. Naghenjwa Kaboyoka na Makamu Mwenyekiti, Mhe. Aeshi Hilal wakiwa kaitika kikao cha Kamati hiyo kilichofanyika katika Ofisi za Bunge Jijini Dodoma
Naibu Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Mhe. Angella Mabula akiwa katika kikao cha Kamati ya Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC)kilichofanyika katika Ofisi za Bunge Jijini Dodoma

BALOZI WA USWISI NCHINI AFIKA OFISINI KWA MHE. SPIKA KUMUAGA

 Balozi wa Uswisi nchini Bi. Florence Tinguely Mattli (aliyesimama) akitambulishwa Bungeni na Spika wa Bunge Mhe. Job Ndugai (hayupo pichani).  Balozi huyo alifika  Ofisini kwa Mhe. Spika kumuaga baada ya kumaliza muda wake.
 Spika wa Bunge Mhe. Job Ndugai akufurahi jambo wakati akizungumza na Balozi wa Uswisi nchini Bi. Florence Tinguely Mattli aliyefika Ofisini kwake kumuaga baada ya kumaliza muda wake .

 Spika wa Bunge Mhe. Job Ndugai akimueleza jambo Balozi wa Uswisi nchini Bi. Florence Tinguely Mattli aliyefika Ofisini kwake kumuaga baada ya kumaliza muda wake .

 Spika wa Bunge Mhe. Job Ndugai katika picha ya pamoja na Balozi wa Uswisi nchini Bi. Florence Tinguely Mattli aliyefika Ofisini kwake kumuaga baada ya kumaliza muda wake. 

Katibu wa Bunge Ndg. Stephen Kagaigai akisalimiana na Balozi wa Uswisi nchini Bi. Florence Tinguely Mattli aliyefika Ofisini kwa Mhe. Spika kumuaga baada ya kumaliza muda wake.

MREMBO WA DUNIA WA UANDISHI WA HABARI ATEMBELEA BUNGE

Mrembo wa Dunia wa Uandishi wa Habari (Miss World Journalism 2018) Nina Yevtushenko kutoka Nchini Ukraine atembelea Bunge na kujionea namna Vikao vinavyoendeshwa hii leo Jijini Dodoma. (Picha na Ofisi ya Bunge)

Tuesday, May 21, 2019

WAGENI MBALIMBALI WAENDELEA KUTEMBELEA BUNGE

Sehemu ya wageni mbalimbali wakiwa katika Jukwaa la Wageni kutazama Mijadala ya Bunge inavyoendelea hii leo Jijini Dodoma. 
Sehemu ya wageni mbalimbali wakiwa katika Jukwaa la Wageni kutazama Mijadala ya Bunge inavyoendelea hii leo Jijini Dodoma. 

Saturday, May 18, 2019

WABUNGE WAPEWA SEMINA YA MASUALA YA JINSIA NA JINSI

Mheshimiwa Andrew Chenge akichangia jambo  katika Semina ya Kupitia Mfumo wa Kisheria na Kisera kuhusu masuala ya Kijinsia na Jinsi katika shughuli za Kibunge iliyofanyika kwenye Msekwa Bungeni Jijini Dodoma hii leo.  Semina hiyo imehudhuriwa na Wajumbe wa Kamati  ya Ardhi, Maliasili na Utalii, Kamati ya Mambo ya Nje, Ulinzi na Usalama,  Kamati ya  Viwanda, Biashara na Mazingira, Kamati ya Miundombinu, Kamati ya Kilimo, Mifugo na Maji na Kamati ya Sheria ndogo. 


Waheshimiwa Wabunge wakifuatilia jambo katika Semina ya Kupitia Mfumo wa Kisheria na Kisera kuhusu masuala ya Kijinsia na Jinsi katika shughuli za Kibunge iliyofanyika kwenye Msekwa Bungeni Jijini Dodoma hii leo.  Semina hiyo imehudhuriwa na Wajumbe wa Kamati  ya Ardhi, Maliasili na Utalii, Kamati ya Mambo ya Nje, Ulinzi na Usalama,  Kamati ya  Viwanda, Biashara na Mazingira, Kamati ya Miundombinu, Kamati ya Kilimo, Mifugo na Maji na Kamati ya Sheria ndogo.


Mheshimiwa Julius Kalanga akichangia jambo katika Semina ya Kupitia Mfumo wa Kisheria na Kisera kuhusu masuala ya Kijinsia na Jinsi katika shughuli za Kibunge iliyofanyika kwenye Msekwa Bungeni Jijini Dodoma hii leo.  Semina hiyo imehudhuriwa na Wajumbe wa Kamati  ya Ardhi, Maliasili na Utalii, Kamati ya Mambo ya Nje, Ulinzi na Usalama,  Kamati ya  Viwanda, Biashara na Mazingira, Kamati ya Miundombinu, Kamati ya Kilimo, Mifugo na Maji na Kamati ya Sheria ndogo.

Monday, May 6, 2019

SPIKA WA BUNGE ATEMBELEWA NA MUWAKILISHI UNDP

Spika wa Bunge, Mheshimiwa Job Ndugai  akizungumza na Kaimu Muwakilishi Mkazi wa Shirika la Maendeleo la Umoja wa Mataifa (UNDP), Ndugu Natalie Bovely alipomtembelea nyumbani  kwake Jijini Dodoma. Mgeni huyo aliambatana na Mshauri Mkuu wa Mradi wa Kulijengea Bunge Uwezo (LSP II), Ndugu Takawira Musavengana  na Mratibu wa mradi huo Ndugu Mary Lasway.
Spika wa Bunge, Mheshimiwa Job Ndugai akizungumza na Kaimu Muwakilishi Mkazi wa Shirika la Maendeleo la Umoja wa Mataifa (UNDP), Ndugu Natalie Bovely alipomtembelea nyumbani  kwake Jijini Dodoma. 
Spika wa Bunge, Mheshimiwa Job Ndugai akipokea zawadi kutoka kwa Kaimu Muwakilishi Mkazi wa Shirika la Maendeleo la Umoja wa Mataifa (UNDP), Ndugu Natalie Bovely alipomtembelea nyumbani kwake kwake Jijini Dodoma.



Spika wa Bunge, Mheshimiwa Job Ndugai akipokea zawadi kutoka kwa Kaimu Muwakilishi Mkazi wa Shirika la Maendeleo la Umoja wa Mataifa (UNDP), Ndugu Natalie Bovely alipomtembelea nyumbani kwake kwake Jijini Dodoma.


KATIBU WA BUNGE ATEMBELEWA NA MWAKILISHI KUTOKA UNDP

Katibu wa Bunge, Ndugu Stephen Kagaigai akimsikiliza Kaimu Muwakilishi Mkazi wa Shirika la Maendeleo la Umoja wa Mataifa (UNDP), Ndugu Natalie Bovely alipomtembelea ofisini kwake Jijini Dodoma.
Katibu wa Bunge, Ndugu Stephen Kagaigai akimsikiliza Kaimu Muwakilishi Mkazi wa Shirika la Maendeleo la Umoja wa Mataifa (UNDP), Ndugu Natalie Bovely alipomtembelea ofisini kwake Jijini Dodoma. Mgeni huyo aliambatana na Mshauri Mkuu wa Mradi wa Kulijengea Bunge Uwezo (LSP), Ndugu Takawira Musavengana  na Mratibu wa mradi huo Ndugu Mary Lasway. 
Katibu wa Bunge, Ndugu Stephen Kagaigai akipokea zawadi kutoka kwa Kaimu Muwakilishi Mkazi wa Shirika la Maendeleo la Umoja wa Mataifa (UNDP), Ndugu Natalie Bovely alipomtembelea ofisini kwake Jijini Dodoma.