WELCOME TO TANZANIA NATIONAL ASSEMBLY OFFICIAL BLOG: CONTACT US: P.O.BOX 941 DODOMA, TANZANIA, WEBSITE: parliament.go.tz , FIND US ON FACEBOOK >>> www.facebook.com/bungetz1, FOLLOW US ON TWITTER >>> @bunge_tz.>>>KARIBUNI

Friday, November 30, 2018

BENKI YA CRDB YAMKABIDHI SPIKA WA BUNGE VIFAA VYA MICHEZO KWA AJILI YA BUNGE SPORTS CLUB

Spika wa Bunge Mhe Job Ndugai (katikati) akizungumza na   Mkurugenzi wa Masoko, Utafiti na Huduma kwa Wateja wa Benki ya CRDB, Bi. Tully Esther Mwambapa (wa kwanza kulia) alipofika Ofisini kwake  kumkabidhi vifaa vya michezo kwa ajili ya Bunge Sports Club.
 Spika wa Bunge Mhe Job Ndugai (kulia) akipokea Jezi kutoka kwa Mkurugenzi wa Masoko, Utafiti na Huduma kwa Wateja wa Benki ya CRDB, Bi. Tully Esther Mwambapa (katikati) alipofika Ofisini kwake  kumkabidhi  vifaa vya michezo kwa ajili ya Bunge Sports Club anayeshuhudia ni Mkuu wa Huduma za Benki ya CRDB Serikalini, Benett Bankobeza (kushoto).

 Spika wa Bunge Mhe Job Ndugai (kulia) akipokea Jezi kutoka kwa Mkurugenzi wa Masoko, Utafiti na Huduma kwa Wateja wa Benki ya CRDB, Bi. Tully Esther Mwambapa (katikati) alipofika Ofisini kwake  kumkabidhi  vifaa vya michezo kwa ajili ya Bunge Sports Club anayeshuhudia ni Mkuu wa Huduma za Benki ya CRDB Serikalini, Benett Bankobeza (kushoto).
Spika wa Bunge Mhe Job Ndugai ( wa pili kulia) katika picha ya pamoja na Mkurugenzi wa Masoko, Utafiti na Huduma kwa Wateja wa Benki ya CRDB, Bi. Tully Esther Mwambapa (kulia),Mkuu wa Huduma za Benki ya CRDB Serikalini, Benett Bankobeza (wa pili kushoto) 

SPIKA WA BUNGE AKUTANA NA KUZUNGUMZA NA BALOZI WA SWEDEN NCHINI OFISINI KWAKE JIJINI DAR ES SALAAM

Spika wa Bunge Mhe. Job Ndugai akizungumza na Balozi wa Sweden Nchini Mhe. Andres Sjoberg Ofisini kwake Jijini Dar es Salaam

pika wa Bunge Mhe. Job Ndugai akizungumza na Balozi wa Sweden Nchini Mhe. Andres Sjoberg Ofisini kwake Jijini Dar es Salaam

Balozi wa Sweden Nchini Mhe. Andres Sjoberg  akimueleza jambo Spika wa Bunge Mhe. Job Ndugai alipomtembelea Ofisini kwake Jijini Dar es Salaam
Balozi wa Sweden Nchini Mhe. Andres Sjoberg  akimueleza jambo Spika wa Bunge Mhe. Job Ndugai alipomtembelea Ofisini kwake Jijini Dar es Salaam


Spika wa Bunge Mhe. Job Ndugai katika picha ya pamoja na Balozi wa Sweden Nchini Mhe. Andres Sjoberg mara baada ya kuzungumza naye Ofisini kwake Jijini Dar es Salaam.

Thursday, November 29, 2018

SPIKA NDUGAI AKUTANA NA KUZUNGUMZA NA BALOZI WA FALME ZA NCHI ZA KIARABU

 Spika wa Bunge Mhe. Job Ndugai akizungumza na Balozi wa Falme za Nchi za Kiarabu Mhe. Khalifa Abdulrahman  Almarzooqi alipomtembelea Ofisini kwake  Jijini Dar es Salaam.
 Spika wa Bunge Mhe. Job Ndugai akizungumza na Balozi wa Falme za Nchi za Kiarabu Mhe. Khalifa Abdulrahman  Almarzooqi alipomtembelea Ofisini kwake  Jijini Dar es Salaam.
Balozi wa Falme za Nchi za Kiarabu Mhe. Khalifa Abdulrahman  Almarzooqi akimuelezea jambo Spika wa Bunge Mhe. Job Ndugai alipomtembelea  Ofisini kwake Jijini Dar es Salaam.


 Balozi wa Falme za Nchi za Kiarabu Mhe. Khalifa Abdulrahman  Almarzooqi akimuelezea jambo Spika wa Bunge Mhe. Job Ndugai alipomtembelea  Ofisini kwake Jijini Dar es Salaam.

  Spika wa Bunge Mhe. Job Ndugai katika picha ya pamoja na Balozi wa Falme za Nchi za Kiarabu Mhe. Khalifa Abdulrahman  Almarzooqi mara baada ya kuzungumza naye Ofisini kwake Jijini Dar es Salaam.
Mazungumzo yakiendelea.

SPIKA WA BARAZA LA SENETI LA BURUNDI AMTEMBELEA SPIKA NDUGAI

Spika wa Bunge Mhe. Job Ndugai akizungumza na Spika wa Baraza la Seneti la Burundi Mhe. Reverien Ndikuriyo (katikati) alipomtembelea Ofisini kwake Jijini Dar es Salaam. Kulia ni Balozi wa Burundi nchini Mhe. Prefere Ndayishimiye.


 Spika wa Bunge Mhe. Job Ndugai akimueleza jambo Spika wa Baraza la Seneti la Burundi Mhe. Reverien Ndikuriyo alipomtembelea Ofisini kwake Jijini Dar es Salaam. 
Spika wa Bunge Mhe. Job Ndugai akifurahia jambo Spika wa Baraza la Seneti la Burundi Mhe. Reverien Ndikuriyo alipomtembelea Ofisini kwake Jijini Dar es Salaam. 

Balozi wa Burundi nchini Mhe. Prefere Ndayishimiye (kulia)akimueleza jambo Spika wa Bunge Mhe. Job Ndugai wakati yeye na Spika wa Baraza la Seneti la Burundi Mhe. Reverien Ndikuriyo (katikati) walipomtembelea Ofisini kwake Jijini Dar es Salaam.

Tuesday, November 27, 2018

BUNGE SPORTS CLUB YAAHIDI USHINDI MICHUANO YA EALA

Mchezaji wa Timu ya Mpira wa Miguu ya Bunge "Ndugai Boys", William Ngeleja akiambaa na mpira wa kati wa mazoezi ya timu hiyo inayojiandaa na michuano ya Mabunge ya Jumuia ya Afrika Mashariki jijini Bujumbura Burundi mapema mwezi ujao. Ngela pia ni Mwenyekiti wa Bunge Sports Club.


Naibu Waziriu wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, na mchezaji wa timu ya Mpira wa Pete ya Bunge , Dk. Angelina Mabula akimiliki mpira mbele ya wachezaji wa timu ya Chuo cha Mipango wakati wa mchezo wa kirafiki baina ya timu . Bunge Queens inajiandaa na michezo ya Mabunge ya Jumuia ya Afrika Mashariki itakayofanyika Bujumbura Burundi kuanzia Desemba mosi mwaka huu 

Wachezaji wa mpira wa Wavu wa Bunge, (Wanaume) Mhe. Aeshi Hillary Mhe. Seif Gulamali na Mhe. David Silinde wakifanya mazoezi Uwanja wa Chuo cha Biashara CBE jijini Dodoma leo tayari kwa kushiriki michuano ya Mabunge ya Afrika Mashariki Bujumbura Burundi mapema mwezi ujao.



Mchezaji wa mpira wa Wavu wa Bunge, (Wanawake) Mhe. Rita Kabati akipiga mpira wakati wa mazoezi katika Uwanja wa Chuo cha Biashara CBE jijini Dodoma leo tayari kwa kushiriki michuano ya Mabunge ya Afrika Mashariki Bujumbura Burundi mapema mwezi ujao. Kushoto ni Mhe. Faida Bakari.


Mchezaji wa mpira wa Wavu wa Bunge, (Wanawake) Mhe. Neema Mgaya akipiga mpira wakati wa mazoezi katika Uwanja wa Chuo cha Biashara CBE jijini Dodoma leo tayari kwa kushiriki michuano ya Mabunge ya Afrika Mashariki Bujumbura Burundi mapema mwezi ujao. Kushoto ni Mheshimiwa Rita Kabati.


Wachezaji wa Bunge Sports Club, kutoka kushotoFlatei Massay, Venance Mwamoto na Angelina Mabula wakifanya mazoezi Uwanja wa Jamhuri

Friday, November 23, 2018

MATUKIO MBALIMBALI YA KIKAO CHA TATU CHA BUNGE LA VIJANA

Spika wa Bunge la Vijana Mhe. Zephania Sane akiingia ukumbini tayari kwa kuanza kikao cha Bunge hilo. Mkutano huo wa Bunge la Vijana mwaka 2018 unafanyika katika Ukumbii wa Msekwa Jijini Dodoma.

Spika wa Bunge la Vijana Mhe. Zephania Sane akiingia ukumbini tayari kwa kuanza kikao cha Bunge hilo. Mkutano huo wa Bunge la Vijana mwaka 2018 unafanyika katika Ukumbii wa Msekwa Jijini Dodoma.

Spika wa Bunge la Vijana Mhe. Zephania Sane akiingia ukumbini tayari kwa kuanza kikao cha Bunge hilo. Mkutano huo wa Bunge la Vijana mwaka 2018 unafanyika katika Ukumbii wa Msekwa Jijini Dodoma.

Spika wa Bunge la Vijana Mhe. Zephania Sane akiingia ukumbini tayari kwa kuanza kikao cha Bunge hilo. Mkutano huo wa Bunge la Vijana mwaka 2018 unafanyika katika Ukumbii wa Msekwa Jijini Dodoma.

Kikao cha Tatu cha Mkutano wa Bunge la Vijana mwaka 2018 kikiendelea katika Ukumbi wa Msekwa Jijini Dodoma.

Spika wa Bunge la Vijana. Mhe. Zephania Sane pamoja na wabunge wa Bunge hilo wakiwa wamesimama kwa heshima wakati Bunge linapotaka kukaa kama Kamati ya Bunge zima kwa ajili ya kupitisha Muswada. Mkutano  wa Bunge la Vijana mwaka 2018 unafanyika katika Ukumbii wa Msekwa Jijini Dodoma.

Wabunge wa Bunge la vijana wakiwa wamekutana kama Kamati ya Bunge zima kwa ajili ya kupitisha Muswada. Mkutano  wa Bunge la Vijana mwaka 2018 unafanyika katika Ukumbii wa Msekwa Jijini

Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge zima ya Bunge la Vijana, Mhe. Zephania Sane (wa kwanza kushoto) akingoza kika cha Kamati ya Bunge zima wakati wa kupitisha Muswada. Anayefuata ni Katibu wa Bunge la Vijana Bi. Alphonsina Ambrosi na Katibu Mezani Bi. Bertina Tarimo.
Wabunge wa Bunge la Vijana mwaka 2018 wakifuatilia hoja ndani ya Ukumbi wa Bunge


Wabunge wa Bunge la Vijana mwaka 2018 wakifuatilia hoja ndani ya Ukumbi wa Bunge


Wabunge wa Bunge la Vijana mwaka 2018 wakifuatilia hoja ndani ya Ukumbi wa Bunge


Wabunge wa Bunge la Vijana mwaka 2018 wakifuatilia hoja ndani ya Ukumbi wa Bunge



Wabunge wa Bunge la Vijana mwaka 2018 wakifuatilia hoja ndani ya Ukumbi wa Bunge


Wabunge wa Bunge la Vijana mwaka 2018 wakifuatilia hoja ndani ya Ukumbi wa Bunge


Wabunge wa Bunge la Vijana mwaka 2018 wakifuatilia hoja ndani ya Ukumbi wa Bunge


Wabunge wa Bunge la Vijana mwaka 2018 wakifuatilia hoja ndani ya Ukumbi wa Bunge


Thursday, November 22, 2018

WABUNGE WA BUNGE LA VIJANA WAENDELEA NA VIKAO KATIKA UKUMBI WA MSEKWA

Spika wa Bunge la Vijana, Mhe. Zephania Sane akiongoza Kikao cha Pili cha Mkutano wa Bunge la Vijana mwaka 2018, mezani wa kwanza mbele ni Katibu wa Bunge hilo,Bi Alphosina Ambrose akiambatana na Makatibu Mezani.Mkutano huo wa Bunge la Vijana unafanyika katika Ukumbi wa Msekwa Jijini Dodoma.

Mwanasheria Mkuu wa  Serikali katika Bunge la Vijana, Mhe. Shabir Bigirwa akijibu  maswali ya wabunge wakati kikao cha Bunge la Vijana kinachoendelea katika Ukumbi wa Msekwa Jijini Dodoma.

Spika wa Bunge la Vijana, Mhe. Zephania Sane akiongoza Kikao cha Pili cha Mkutano wa Bunge la Vijana mwaka 2018, mezani wa kwanza mbele ni Katibu wa Bunge hilo,Bi Alphosina Ambrose akiambatana na Makatibu Mezani.Mkutano huo wa Bunge la Vijana unafanyika katika Ukumbi wa Msekwa Jijini Dodoma.

Mbunge wa Bunge la Vijana kutokea upande wa Upinzani, Mhe. Julius Mtatiro akiuliza swali Bungeni wakati kikao cha Bunge hilo la Vijana kinachoendelea katika Ukumbi wa Msekwa Jijini Dodoma.

Wabunge wa Bunge la Vijana wakimsikiliza Waziri wa Elimu katika Bunge hilo Mhe. Riziki Bakari wakati akijibu swali la Mbunge katika kikao cha Bunge hilo la Vijana kinachofanyika katika Ukumbi wa Msekwa Jijini Dodoma.

Spika wa Bunge la Vijana, Mhe. Zephania Sane akiongoza Kikao cha Pili cha Mkutano wa Bunge la Vijana mwaka 2018. Mkutano huo wa Bunge la Vijana unafanyika katika Ukumbi wa Msekwa Jijini Dodoma.

Waziri wa Kazi na Ajira katika Bunge la Vijana, Mhe. Victoria Ngowi akijibu  swali la mbunge wakati kikao cha Bunge la Vijana kikiendelea katika Ukumbi wa Msekwa Jijini Dodoma.

Wabunge wa Bunge la Vijana mwaka 2018 wakifuatulia mjadala katika Kikao cha Bunge hilo, wa kwanza kushoto katika mstari wa kwanza ni Waziri Mkuu, Mhe. Ally Yanga, anayefuata ni Mwanasheria Mkuu wa Serikali Mhe. Shabiri Bigirwa na Waziri wa Elimu Mhe. Riziki Bakari.

Viongozi mbalimbali wa Upinzani katika Mkutano wa Bunge la Vijana, wa kwanza kushoto ni Kiongozi wa Kambi Rasmi ya Upinzani katika bunge hilo, Mhe. Mrisho Juma Ndili, anayefuata ni Waziri Kivuli wa Elimu Mhe. Saidina Hussein na Mhe. Julius Mtatiro.

Baadhi ya wabunge wa Bunge la Vijana mwaka 2018 wakifuatulia mjadala katika Kikao cha Bunge hilo. Mkutano wa Bunge hilo la Vijana mwaka 2018 unaendelea katika Ukumbi wa Msekwa Jijini Dodoma.