WELCOME TO TANZANIA NATIONAL ASSEMBLY OFFICIAL BLOG: CONTACT US: P.O.BOX 941 DODOMA, TANZANIA, WEBSITE: parliament.go.tz , FIND US ON FACEBOOK >>> www.facebook.com/bungetz1, FOLLOW US ON TWITTER >>> @bunge_tz.>>>KARIBUNI

Saturday, March 30, 2019

SPIKA AFUNGUA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO KUHUSIANA NA MASUALA YA MADINI WAJUMBE WA KAMATI YA NISHATI NA MADINI

Spika wa Bunge, Mhe. Job Ndugai akifungua mafunzo ya kuwajengea uwezo kuhusu masuala ya madini wajumbe wa Kamati ya Nishati na Madini, mafunzo hayo yamefanyika leo katika Ukumbi wa Msekwa Jijini Dodoma.

Spika wa Bunge, Mhe. Job Ndugai akifungua mafunzo ya kuwajengea uwezo kuhusu masuala ya madini wajumbe wa Kamati ya Nishati na Madini, mafunzo hayo yamefanyika leo katika Ukumbi wa Msekwa Jijini Dodoma.

          Spika wa Bunge, Mhe. Job Ndugai akisisitiza jambo
Spika wa Bunge, Mhe. Job Ndugai akisisitiza jambo wakati akitoa hotuba ya ufunguzi.

Spika wa Bunge, Mhe. Job Ndugai (katikati) akiwa mgeni ramsi katika semina ya wajumbe wa Kamati ya Nishati na Madini ya kuwajengea uwezo kuhusu masuala ya madini wajumbe wa Kamati ya Nishati na Madini, kulia kwake ni Waziri wa Madini Mhe. Dotto Biteko  na kushoto kwake ni Mwenyekiti wa Kamati ya Nishati  na Madini Mhe, Dunstan Kitandula. Semina hiyo imefanyika leo katika Ukumbi wa Msekwa Jijini Dodoma.

Friday, March 29, 2019

WABUNGE WA BUNGE LA AFRIKA WAKUTANA NA KUFANYA MAZUNGUMZO NA KATIBU WA BUNGE

   Katibu wa Bunge Stephen Kagaigai akimsikiliza Makamu wa Rais wa Bunge la Afrika (PAP) Mhe. Stephen Masele aliyemtembelea Ofisi kwake Bungeni Mjini Dodoma.


Katibu wa Bunge Stephen Kagaigai akimsikiliza Makamu wa Rais wa Bunge la Afrika (PAP) Mhe. Stephen Masele aliyemtembelea Ofisi kwake Bungeni Mjini Dodoma. Mheshimiwa Massele aliongozana na Rais wa Umoja wa Vijana wa Bunge la Afrika Mhe. Mboni Mhita  pamoja na Mjumbe wa Bunge la Afrika Mhe. David Silinde

   Katibu wa Bunge Stephen Kagaigai akimsikiliza Makamu wa Rais wa Bunge la Afrika (PAP) Mhe. Stephen Masele aliyemtembelea Ofisi kwake Bungeni Mjini Dodoma. Mheshimiwa Massele aliongozana na Rais wa Umoja wa Vijana wa Bunge la Afrika Mhe. Mboni Mhita  pamoja na Mjumbe wa Bunge la Afrika Mhe. David Silinde.


Thursday, March 28, 2019

NAIBU SPIKA AFUNGUA KIKAO CHA BARAZA LA MAZIWA MAKUU (FP-ICGLR) KUHUSU DEMOKRASIA NA UTAWALA BORA

Naibu Spika wa Bunge la Tanzania Mheshimiwa Dkt. Tulia Ackson akifungua kikao cha Tano cha Demokrasia na Utawala cha Baraza la Wabunge wa Mabunge ya Jumuiya ya nchi za Maziwa makuu (FP-ICGLR) kilichofanyika hii leo Jijini Arusha.

Naibu Spika wa Bunge la Tanzania Mheshimiwa Dkt. Tulia Ackson akiwa katika picha ya pamoja na Wajumbe wa kikao cha Tano cha Demokrasia na Utawala bora cha Baraza la Wabunge wa Mabunge ya Jumuiya ya nchi za Maziwa makuu (FP-ICGLR) kilichofanyika hii leo Jijini Arusha.

Tuesday, March 26, 2019

KAMATI YA VIWANDA, BIASHARA NA MAZINGIRA YAKUTANA NA WATENDAJI WA TBS

 Wajumbe wa Kamati ya Bunge ya Viwanda, Biashara na Mazingira wakiongozwa na Mwenyekiti Mhe. Sadiq Murad wakiwa katika kikao katika Ofisi za Bunge Jijini Dodoma ambapo walikutana na watendaji wa Shirika la Viwango Tanzania (TBS).
Mwenyekiti wa Kamati ya Viwanda, Biashara na Mazingira  Mhe. Sadiq Murad akiongoza kikao cha Kamati hiyo kilichofanyika katika Ofisi za Bunge Jijini Dodoma ambapo walikutana na watendaji wa Shirika la Viwango Tanzania (TBS), pembeni ni Katibu wa Kamati, Zainabu Mkamba.

Wajumbe wa Kamati ya Bunge ya Viwanda, Biashara na Mazingira wakiongozwa na Mwenyekiti Mhe. Sadiq Murad wakiwa katika kikao katika Ofisi za Bunge Jijini Dodoma ambapo leo walikutana na watendaji wa Shirika la Viwango Tanzania (TBS), pichani ni mjumbe wa Kamati hiyo, Mhe. Godbles Lema akichangia jambo katika kikao hicho.

Naibu Waziri wa Viwanda na Biashara, Mhe. Stella Manyanya akichangia jambo katika kikao cha Kamati ya Viwanda, Biashara na Mazingira kilichokutana leo katika Ofisi za Bunge Jijini Dodoma

NAIBU SPIKA AFUNGUA KIKAO CHA BARAZA LA MAZIWA MAKUU (FP-ICGLR) JIJINI ARUSHA


Naibu Spika wa Bunge la Tanzania Mheshimiwa Dkt. Tulia Ackson akifungua kikao cha Tano cha Amani na Usalama cha Baraza la Wabunge wa Mabunge ya Jumuiya ya nchi za Maziwa makuu (FP-ICGLR) kilichofanyika hii leo Jijini Arusha.

Naibu Spika wa Bunge la Tanzania Mheshimiwa Dkt. Tulia Ackson akiwa katika picha ya pamoja na Wajumbe wa kikao cha Tano cha Amani na Usalama cha Baraza la Wabunge wa Mabunge ya Jumuiya ya nchi za Maziwa makuu (FP-ICGLR)  kilichofanyika hii leo Jijini Arusha.

Friday, March 22, 2019

KAMATI YA UTAWALA NA SERIKALI ZA MITAA YAJADILI BAJETI YA MKOA WA TABORA


Mjumbe wa Kamati ya kudumu ya Bunge ya Utawala na Serikali za Mitaa Mheshimiwa Hamad Maalim akichangia jambo wakati Kamati hiyo ikipokea taarifa ya utekelezaji wa bajeti ya mwaka wa fedha 2018/2019 pamoja na makadirio ya mapato na matumizi kwa mwaka wa fedha 2019/2020 ya Mkoa wa Tabora kwenye Ukumbi wa Msekwa Jijini Dodoma hii leo. 

Mkuu wa Mkoa wa Tabora Mheshimiwa Agrey Mwanri akiwasilisha taarifa ya utekelezaji wa bajeti ya mwaka wa fedha 2018/2019 pamoja na makadirio ya mapato na matumizi ya kwa mwaka wa fedha 2019/2020 ya Mkoa huo mbele ya Kamati ya kudumu ya Bunge ya Utawala na Serikali za Mitaa kwenye Ukumbi wa Msekwa Jijini Dodoma hii leo.
Wajumbe wa Kamati ya kudumu ya Bunge ya Utawala na Serikali za Mitaa wakifuatilia taarifa ya utekelezaji wa bajeti ya mwaka wa fedha 2018/2019 pamoja na makadirio ya mapato na matumizi kwa mwaka wa fedha 2019/2020 ya Mkoa wa Tabora kwenye Ukumbi wa Msekwa Jijini Dodoma hii leo. 

BUNGE SPORTS CLUB YAITAKIA HERI TAIFA STARS.



Mwenyekiti wa Timu ya Michezo ya Bunge (Bunge 

Sports Club), Mhe. William Ngereja akizungumza na 

waandishi wa habari kuitakia heri Timu ya Soka ya 

Taifa (Taifa Stars) katika mchezo wake wa kufuzu 

Michuano ya Mataifa ya Afrika (AFCON) dhidi ya 

Uganda inatoyatarajiwa kuchezwa tarehe 24 Machi, 

2019 Jijini Dar es Salaam, Mkutano huo ulifanyikakatika 

Ofisi za Bunge Jijini Dodoma. Kushoto ni Kocha Mkuu 

wa Timu hiyo, Mhe. Vanance Mwamoto na Katibu Wa 

Timu, Ndugu Waziri Kizingiti. 


Mwenyekiti wa Timu ya Michezo ya Bunge (Bunge 

Sports Club), Mhe. William Ngereja akizungumza na 

waandishi wa habari kuitakia heri Timu ya Soka ya 

Taifa (Taifa Stars) katika mchezo wake wa kufuzu 

Michuano ya Mataifa ya Afrika (AFCON) dhidi ya 

Uganda inatoyatarajiwa kuchezwa tarehe 24 Machi, 

2019 Jijini Dar es Salaam, Mkutano huo ulifanyikakatika 

Ofisi za Bunge Jijini Dodoma. 

Mwenyekiti wa Timu ya Michezo ya Bunge (Bunge Sports Club), Mhe. William Ngereja akizungumza na waandishi wa habari kuitakia heri Timu ya Soka ya Taifa (Taifa Stars) katika mchezo wake wa kufuzu michuano ya Mataifa ya Afrika (AFCON) dhidi ya Uganda inatoyatarajiwa kuchezwa tarehe 24 Machi, 2019 Jijini Dar es Salaam, Mkutano huo ulifanyika katika Ofisi za Bunge Jijini Dodoma.