WELCOME TO TANZANIA NATIONAL ASSEMBLY OFFICIAL BLOG: CONTACT US: P.O.BOX 941 DODOMA, TANZANIA, WEBSITE: parliament.go.tz , FIND US ON FACEBOOK >>> www.facebook.com/bungetz1, FOLLOW US ON TWITTER >>> @bunge_tz.>>>KARIBUNI

Monday, April 15, 2024

SPIKA DKT. TULIA MGENI RASMI BUNGE MARATHON















SPIKA DKT. TULIA MGENI RASMI BUNGE MARATHON

·         Ashiriki katika mbio za km 5

Spika wa Bunge, Mhe. Dkt. Tulia Ackson (Mb), mgeni rasmi katika mbio za Bunge Marathon zilizofanyika tarehe 13 Aprili, 2024 katika Uwanja wa Jamhuri Jijini Dodoma.

Mbio hizo za Bunge marathon zimehudhuriwa na viongozi mbalimbali akiwemo Mkuu wa Mkoa wa Dodoma, Mhe. Rosemary Senyamule, Katibu Tawala Mkoa wa Dodoma, Ndg. Kaspar Mmuya, Waheshimiwa Wabunge na Katibu wa Bunge, Ndg. Nenelwa Mwihambi, ndc.

Lengo likiwa ni kuchangisha kiasi cha Shilingi Bilioni 3 kwa ajili ya ujenzi wa Shule ya Sekondari ya Wavulana Bunge.

Huku kauli mbiu ikiwa ni “Shiriki Michezo kwa Maendeleo ya Taifa Letu”.