WELCOME TO TANZANIA NATIONAL ASSEMBLY OFFICIAL BLOG: CONTACT US: P.O.BOX 941 DODOMA, TANZANIA, WEBSITE: parliament.go.tz , FIND US ON FACEBOOK >>> www.facebook.com/bungetz1, FOLLOW US ON TWITTER >>> @bunge_tz.>>>KARIBUNI

Friday, December 8, 2023

WACHEZAJI WA TIMU YA BUNGE SPORTS CLUB WASHIRIKI UFUNGUZI WA MICHEZO YA 13 YA MABUNGE YA JUMUIYA YA AFRIKA MASHARIKI KIGALI NCHINI RWANDA.











Wachezaji wa timu ya Bunge Sports Club wakiongozwa na Mwenyekiti wake, Mhe. Tarimba Abbas wameshiriki katika ufunguzi wa michezo ya 13 ya Mabunge ya Jumuiya ya Afrika Mashariki inayofanyika Kigali nchini Rwanda.

Mashindano hayo yamefunguliwa leo tarehe 8 Disemba, 2023 na Spika wa Bunge la Rwanda, Mhe. Donatile Mukabalisa.

Huku kauli mbiu ya mwaka huu ikiwa ni kwa maendeleo, amani na Jumuiya yote ya Afrika Mashariki.