Monday, June 16, 2025
Thursday, June 12, 2025
Wednesday, June 11, 2025
Tuesday, June 10, 2025
Friday, June 6, 2025
Thursday, June 5, 2025
Tuesday, April 8, 2025
NAIBU SPIKA ZUNGU AONGOZA KIKAO CHA KAMATI YA UONGOZI BUNGENI JIJINI DODOMA
Naibu Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa
Tanzania, Mhe. Mussa Azzan Zungu (Mb), amengoza kikao cha Kamati ya Uongozi
kilichofanyika leo tarehe 8 Aprili, 2025 katika Ukumbi wa Spika, Bungeni Jijini
Dodoma.
Pamoja na mambo mengi kikao hicho kilipokea na kujadili
Mapendekezo ya Ratiba ya Mkutano wa Kumi na Tisa wa Bunge.
Mkutano wa Kumi na Tisa wa Bunge umeanza leo tarehe 8 Aprili, 2025, Bungeni Jijini Dodoma.
Vile vile, Kikao hicho kilihudhuriwa na Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu; Sera, Bunge na Uratibu, Mhe. William Lukuvi (Mb) na Katibu wa Bunge, Ndg. Baraka Leonard.
Subscribe to:
Posts (Atom)










