WELCOME TO TANZANIA NATIONAL ASSEMBLY OFFICIAL BLOG: CONTACT US: P.O.BOX 941 DODOMA, TANZANIA, WEBSITE: parliament.go.tz , FIND US ON FACEBOOK >>> www.facebook.com/bungetz1, FOLLOW US ON TWITTER >>> @bunge_tz.>>>KARIBUNI

Wednesday, April 27, 2016

Waziri wa Biashara na Viwanda wa Singapore, Dkt. Koh Poh Koon na ujumbe wake, walipotembelea Bunge Aprili 27, 2016.

Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Kassim Majaliwa akisalimiana na Waziri wa Biashara na Viwanda wa  Singapore, Dkt. Koh Poh Koon na ujumbe wake, Ofisini kwake bungeni mjini Dodoma Aprili 27, 2016.

Waziri wa Biashara na Viwanda wa Singapore, Dkt. Koh Poh Koon akisalimia wakati ujumbe wa Singapore ulipokuwa unatamblishwa Bungeni na Naibu Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Tulia Akson (Hayupo pichani)  leo mjini Dodoma.


Ujumbe wa Singapore unaoongozwa na Waziri wa Biashara na Viwanda wakiwa Bungeni leo mjini Dodoma.

 Waziri wa Viwanda, Biashara na Uwekezaji Charles Mwijage (wa tano kulia) , akiwa katika picha ya pamoja na Waziri wa Biashara na Viwanda wa Singapore, Dkt. Koh Poh Koon (wan ne kushoto) leo mjini Dodoma.

No comments:

Post a Comment