WELCOME TO TANZANIA NATIONAL ASSEMBLY OFFICIAL BLOG: CONTACT US: P.O.BOX 941 DODOMA, TANZANIA, WEBSITE: parliament.go.tz , FIND US ON FACEBOOK >>> www.facebook.com/bungetz1, FOLLOW US ON TWITTER >>> @bunge_tz.>>>KARIBUNI

Friday, March 24, 2017

SPIKA WA BUNGE ALIPOENDA KUHANI MSIBA WA MAREHEMU Sir GEORGE KAHAMA


Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe Job Ndugai akimsalimia Mama Jannet Kahama, Mjane wa Marehemu Sir George Kahama alipokwenda kuhani Msiba nyumbani kwa marehemu Mikocheni, Dar es Salaam.


Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe Job Ndugai akimsalimia Mama Jannet Kahama, Mjane wa Marehemu Sir George Kahama alipokwenda kuhani Msiba nyumbani kwa marehemu Mikocheni, Dar es Salaam
Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe Job Ndugai akisaini kitabu cha Waombolezaji wakati alipokwenda kuhani Msiba nyumbani kwa marehemu Mikocheni, Dar es Salaam.


Spika wa Bunge Mhe Job Ndugai akizungumza na Mama Jannet Kahama, Mjane wa Marehemu Sir George Kahama alipokwenda kuhani Msiba nyumbani kwa marehemu Mikocheni,  Dar es Salaam.

No comments:

Post a Comment