WELCOME TO TANZANIA NATIONAL ASSEMBLY OFFICIAL BLOG: CONTACT US: P.O.BOX 941 DODOMA, TANZANIA, WEBSITE: parliament.go.tz , FIND US ON FACEBOOK >>> www.facebook.com/bungetz1, FOLLOW US ON TWITTER >>> @bunge_tz.>>>KARIBUNI

Thursday, June 29, 2017

KAMATI YA UONGOZI YA BUNGE YAKUTANA

Spika wa Bunge, Mheshimiwa Job Ndugai akiongoza Kikao cha Kamati ya Uongozi kilichokutana jana usiku katika Ofisi za Bunge Mjini Dodoma, kulia ni Waziri wa Nchi,Ofisi ya Waziri Mkuu, Sera, Bunge,Kazi, Vijana,Ajira na Wenye Ulemavu, Mheshimiwa Jenista Mhagama na kushoto ni Katibu wa Bunge, Dkt. Thomas Kashililah

Wajumbe wa Kamati ya Uongozi ya Bunge wakiwa tayari kwa ajili ya kuanza kwa kikao cha Kamati hiyo kilichofanyika jana usiku katika Ofisi za Bunge Mjini Dodoma.
Kikao cha Kamati ya Uongozi kikiendelea
Wajumbe wakiendelea na Kikao Cha Kamati ya Uongozi

No comments:

Post a Comment