WELCOME TO TANZANIA NATIONAL ASSEMBLY OFFICIAL BLOG: CONTACT US: P.O.BOX 941 DODOMA, TANZANIA, WEBSITE: parliament.go.tz , FIND US ON FACEBOOK >>> www.facebook.com/bungetz1, FOLLOW US ON TWITTER >>> @bunge_tz.>>>KARIBUNI

Wednesday, June 7, 2017

SPIKA WA BUNGE AKIONGOZA KIKAO CHA MASHAURIANO BAINA YA SERIKALI NA KAMATI YA BAJETI SIKU MOJA KABLA YA KUSOMWA KWA BAJETI KUU YA SERIKALI.

Spika wa Bunge, Mheshimiwa Job Ndugai (katikati) akiongoza kikao cha mashauriano baina ya Serikali na Kamati ya Bajeti. Kikao hicho ambacho kimefanyika siku moja kabla ya kusomwa kwa Bajeti kuu ya Serikali ni kwa ajili Kufanya Majumuisho Kwa kuzingatia Hoja zenye Maslahi kwa Taifa zilizojitokeza wakati wa kujadili Bajeti za Wizara. Kulia kwa Mhe Spika ni Waziri Mkuu, Mheshimiwa Kassim Majaliwa na Kushoto kwake ni Katibu wa Bunge, Dkt. Thomas Kashililah na anaefuata ni Naibu Spika wa Bunge, Mheshimiwa Dkt. Tulia Ackson.

 Kikao kikiendelea....

No comments:

Post a Comment