WELCOME TO TANZANIA NATIONAL ASSEMBLY OFFICIAL BLOG: CONTACT US: P.O.BOX 941 DODOMA, TANZANIA, WEBSITE: parliament.go.tz , FIND US ON FACEBOOK >>> www.facebook.com/bungetz1, FOLLOW US ON TWITTER >>> @bunge_tz.>>>KARIBUNI

Thursday, September 21, 2017


Mbunge wa Kigoma Mjini Mheshimiwa Zitto Kabwe akiingia  kuhojiwa na Kamati ya Bunge ya Haki, Maadili na Madaraka ya Bunge leo Mjini Dodoma. Kamati hiyo chini ya Mwenyekiti wake Kapteni Mstaafu Mheshimiwa George Mkuchika imemuhoji mbunge huyo kufuatia kutoa matamshi yanayolidharirisha Bunge kwenye mitandao ya kijamii.
   
Mweyekiti wa Kamati ya Bunge ya Haki, Maadili na Madaraka ya Bunge Mheshimiwa Kapteni Mstaafu George Mkuchika akiongoza Mahojiano ya Kamati hiyo leo Bungeni Mjini Dodoma ambapo Mheshimiwa Zitto Kabwe aliitwa kuhojiwa kufuatia kutoa matamshi ya kudharirisha Mamlaka ya Bunge kupitia kwenye mitandao ya kijamii. 

  
Wajumbe wa Kamati ya Bunge ya Haki, Maadili na Madaraka ya Bunge wakiwa katika kikao cha Kamati hiyo kilichokaa kumhoji Mbunge wa Kigoma Mjini Mheshimiwa Zitto Kabwe kufuatia kutoa matamshi yanayolidharirisha Bunge kupitia mitandao ya Kijamii.

No comments:

Post a Comment