WELCOME TO TANZANIA NATIONAL ASSEMBLY OFFICIAL BLOG: CONTACT US: P.O.BOX 941 DODOMA, TANZANIA, WEBSITE: parliament.go.tz , FIND US ON FACEBOOK >>> www.facebook.com/bungetz1, FOLLOW US ON TWITTER >>> @bunge_tz.>>>KARIBUNI

Tuesday, September 12, 2017

SPIKA WA BUNGE AHUDHURIA HAFLA YA UZINDUZI WA MPANGO WA WIZARA YA FEDHA







Spika wa Bunge Mheshimiwa Job Yustino Ndugai akitoa salamu kwa wajumbe waalikwa katika hafla ya ufunguzi  wa  maboresho wa sekta ya fedha kwa taasisi za umma (PFMRP) awamu ya tano 2017/18 mpaka 2021/22 katika hafla iliyofanyika leo mjini Dodoma

Spika wa Bunge Mheshimiwa Job Yustino Ndugai akipokea kitabu cha mpango mkakati wa Wizara ya Fedha na Mipango wa miaka mitano wa maboresho ya  sekta ya fedha kwa taasisi za umma (PFMRP) awamu ya tano 2017/18 mpaka 2021/22 katika hafla iliyofanyika leo mjini Dodoma.

.

No comments:

Post a Comment