WELCOME TO TANZANIA NATIONAL ASSEMBLY OFFICIAL BLOG: CONTACT US: P.O.BOX 941 DODOMA, TANZANIA, WEBSITE: parliament.go.tz , FIND US ON FACEBOOK >>> www.facebook.com/bungetz1, FOLLOW US ON TWITTER >>> @bunge_tz.>>>KARIBUNI

Thursday, September 14, 2017




Spika wa Bunge Mheshimiwa Job Ndugai ambaye pia ni Mwenyekiti wa Bodi ya Mradi wa Kulijengea uwezo Bunge LSP akitoa neno la Shukran kwa Wafadhili wa Mradi wa Awamu ya Pili wa Kulijengea uwezo Bunge LSP II unaofadhiliwa na Shirika la Maendeleo la Umoja wa Mataifa UNDP katika hafla ya uzinduzi iliyofanyika leo Bungeni Mjini Dodoma.
Mgeni rasmi katika Hafla ya uzinduzi wa Mradi wa Awamu ya Pili wa Kulijengea uwezo Bunge LSP II Waziri Mkuu Mheshimiwa Majaliwa Kassim Majaliwa akitoa neno la Shukran kwa Wafadhili unaofadhiliwa na Shirika la Maendeleo la Umoja wa Mataifa UNDP katika hafla ya uzinduzi iliyofanyika leo Bungeni Mjini Dodoma. 


Katibu wa Bunge Dkt. Thomas Kashililah akitoa tathmini ya Utekelezaji wa Mradi wa  Kulijengea uwezo Bunge LSP I  katika hafla ya uzinduzi wa Mradi huo kwa Awamu ya Pili LPS II 2017-2021 iliyofanyika leo Bungeni Mjini Dodoma.

No comments:

Post a Comment