WELCOME TO TANZANIA NATIONAL ASSEMBLY OFFICIAL BLOG: CONTACT US: P.O.BOX 941 DODOMA, TANZANIA, WEBSITE: parliament.go.tz , FIND US ON FACEBOOK >>> www.facebook.com/bungetz1, FOLLOW US ON TWITTER >>> @bunge_tz.>>>KARIBUNI

Monday, November 6, 2017

NAIBU SPIKA DKT. TULIA KATIKA MKUTANO WA KIMATAIFA WA CHAMA CHA JUMUIYA YA MADOLA UNAOFANYIKA MJINI DHAKA, BANGALADESH.

Naibu Spika, Mhe. Dkt Tulia Ackson akiwa katika Mkutano wa Kimataifa wa Chama cha Jumuiya ya Madola unaofanyika Mjini Dhaka, Bangaladesh. Katika Mkutano huo Naibu Spika alitoa mada kuhusu kuwashirikisha vijana kwenye uongozi, Kulia kwake ni Naibu ni Mhe. Kazi Nabil Ahmed, Mbunge Bangladesh, kushoto ni Mhe. Sumitra Mahjan Spika kutoka India.


Naibu Spika, Mhe. Dkt Tulia Ackson akiwa katika Mkutano wa Kimataifa wa Chama cha Jumuiya ya Madola unaofanyika Mjini Dhaka, Bangaladesh. Katika Mkutano huo Naibu Spika alitoa mada kuhusu kuwashirikisha vijana kwenye uongozi, Kulia kwake ni Naibu ni Mhe. Kazi Nabil Ahmed, Mbunge Bangladesh, kushoto ni Mhe. Sumitra Mahjan Spika kutoka India.


Naibu Spika, Mhe. Dkt Tulia Ackson akiwa katika Mkutano wa Kimataifa wa Chama cha Jumuiya ya Madola unaofanyika Mjini Dhaka, Bangaladesh. Katika Mkutano huo Naibu Spika alitoa mada kuhusu kuwashirikisha vijana kwenye uongozi, Kulia kwake ni Naibu ni Mhe. Kazi Nabil Ahmed, Mbunge Bangladesh, kushoto ni Mhe. Sumitra Mahjan Spika kutoka India.

No comments:

Post a Comment