WELCOME TO TANZANIA NATIONAL ASSEMBLY OFFICIAL BLOG: CONTACT US: P.O.BOX 941 DODOMA, TANZANIA, WEBSITE: parliament.go.tz , FIND US ON FACEBOOK >>> www.facebook.com/bungetz1, FOLLOW US ON TWITTER >>> @bunge_tz.>>>KARIBUNI

Saturday, August 4, 2018

WAKAZI WA DODOMA WATEMBELEA BANDA LA BUNGE KATIKA MAONYESHO YA NANENANE


Afisa kutoka Ofisi ya Bunge, Ndugu Omary Machunda 

akiwaonyesha watoto namna ya ukaaji wa Waheshimiwa 

Wabunge ndani ya Ukumbi wa Bunge, watoto hao walitembelea 

Banda la Bunge katika Maonyesho ya Nanenane yanayoendelea 

Jijini Dodoma


 Watoto waliokuja kutembelea Banda la Bunge katika Maonyesho ya Nanenane yanayoendelea Jijini Dodoma wakifurahia kubeba SIWA ya mfano baada ya kutembelea Banda hilo kwa ajili ya kupata elimu kuhusiana na masuala mbalimbali yanayohusu Bunge.

Afisa kutoka Ofisi ya Bunge, Ndugu Partson Sobha akitoa elimu 

kwa umma kuhusiana na historia ya Bunge kwa wanafunzi 

waliokuja kutembelea Banda la Bunge katika Maonyesho ya 

Nanenane yanayoendelea Jijini Dodoma.
Afisa kutoka Ofisi ya Bunge, Ndugu Omary Machunda 

akiwaonyesha wanafunzi kiti ambacho kimewahi kutumiwa na 

Maspika mbalimbali, wanafunzi hao walitembelea Banda la 

Bunge katika Maonyesho ya Nanenane yanayoendelea Jijini 

Dodoma.



No comments:

Post a Comment