WELCOME TO TANZANIA NATIONAL ASSEMBLY OFFICIAL BLOG: CONTACT US: P.O.BOX 941 DODOMA, TANZANIA, WEBSITE: parliament.go.tz , FIND US ON FACEBOOK >>> www.facebook.com/bungetz1, FOLLOW US ON TWITTER >>> @bunge_tz.>>>KARIBUNI

Wednesday, November 21, 2018

SPIKA WA BUNGE MHE. JOB NDUGAI AFUNGUA MKUTANO WA BUNGE LA VIJANA JIJINI DODOMA

Spika wa Bunge la Vijana, Mhe. Zephania Sane akiapa kushika nafasi hiyo mbele ya Katibu wa Bunge hilo, Ndugu Alphonsina Ambrosi. Mkutano wa Bunge la Vijana mwaka 2018 unaendelea katika Ukumbi wa Msekwa Jijini Dodoma.
Mapambe  wa Bunge akiongoza msafara wa Spika wa Bunge la Vijana kuingia Ukumbini kwa ajili ya kuanza Kikao cha Kwanza cha Bunge hilo kwa mwaka 2018 kilichofanyika katika Ukumbi wa Msekwa Jijini Dodoma.
Waheshimiwa Wabunge wa Bunge la Vijana  mwaka 2018 wa wakila kiapo cha utii mbele ya Spika wa Bunge hilo la vijana, Mhe. Zaphania Sane.wengine ni Makatibu Kamati wa Bunge hilo.
Spika wa Bunge wa Bunge , Mhe. Job Ndugai akisalimiana na Spika wa Bunge la Vijana mwaka 2018 Mhe. Zephania Sane kabla ya kuanza kwa kikao cha Bunge hilo katika Ukumbi wa Msekwa Jijini Dodoma. Mhe. Ndugai alikuwa mgeni ramsi na alifungua  Bunge hilo la Vijana
Spika wa Bunge, Mhe. Job Ndugai akitoa hotuba ya Ufunguzi wa Bunge la Vijana  mwaka 2018 linalofanyika katika Ukumbi wa Msekwa Jijini Dodoma kulia kwake ni Spika wa Bunge la Vijana Mhe. Zephania Sane na kushoto kwake ni Naibu Spika wa Bunge la Vijana, Mhe. Ashiruna Mhunzi
Spika wa Bunge, Mhe. Job Ndugai akitoa hotuba ya Ufunguzi wa Bunge la Vijana  mwaka 2018 linalofanyika katika Ukumbi wa Msekwa Jijini Dodoma kulia kwake ni Spika wa Bunge la Vijana Mhe. Zephania Sane na kushoto kwake ni Naibu Spika wa Bunge la Vijana, Mhe. Ashiruna Mhunzi
Spika wa Bunge la Vijana, Mhe. Zephania Sane akiongoza Kikao cha Kwanza cha Mkutano wa Mkutano wa Bunge la Vijana mwaka 2018 unaoendelea katika Ukumbi wa Msekwa Jijini Dodoma.

No comments:

Post a Comment