WELCOME TO TANZANIA NATIONAL ASSEMBLY OFFICIAL BLOG: CONTACT US: P.O.BOX 941 DODOMA, TANZANIA, WEBSITE: parliament.go.tz , FIND US ON FACEBOOK >>> www.facebook.com/bungetz1, FOLLOW US ON TWITTER >>> @bunge_tz.>>>KARIBUNI

Monday, April 15, 2019

TAASISI MBALIMBALI ZA ELIMU ZAENDELEA KUFANYA ZIARA ZA MAFUNZO BUNGENI

Wanafunzi na Walimu wa Shule ya Msingi Feza ya Jijini Dar es Salaam wakiwa katika Jukwaa la Wageni Bungeni wakifuatilia mijadala ya Bunge hii leo Jijini Dodoma ikiwa ni sehemu ya Ziara yao ya Mafunzo Bungeni. 

Wanafunzi wa Shule ya Msingi Feza ya Jijini Dar es Salaam pamoja na Shule ya Sekondari Mtera Dam ya Dodoma wakiwa katika Ukumbi wa Msekwa wakipata Elimu kwa Umma kutoka kwa Maafisa wa Bunge ikiwa ni sehemu ya Ziara yao ya Mafunzo Bungeni. 

Wanafunzi na Walimu  wa Shule ya Msingi Feza ya Jijini Dar es Salaam pamoja na Shule ya Sekondari Mtera Dam ya Dodoma wakiwa katika picha ya pamoja mara baada ya kukamilisha Ziara yao ya Mafunzo Bungeni Jijini Dodoma hii leo. 

No comments:

Post a Comment