WELCOME TO TANZANIA NATIONAL ASSEMBLY OFFICIAL BLOG: CONTACT US: P.O.BOX 941 DODOMA, TANZANIA, WEBSITE: parliament.go.tz , FIND US ON FACEBOOK >>> www.facebook.com/bungetz1, FOLLOW US ON TWITTER >>> @bunge_tz.>>>KARIBUNI

Saturday, May 18, 2019

WABUNGE WAPEWA SEMINA YA MASUALA YA JINSIA NA JINSI

Mheshimiwa Andrew Chenge akichangia jambo  katika Semina ya Kupitia Mfumo wa Kisheria na Kisera kuhusu masuala ya Kijinsia na Jinsi katika shughuli za Kibunge iliyofanyika kwenye Msekwa Bungeni Jijini Dodoma hii leo.  Semina hiyo imehudhuriwa na Wajumbe wa Kamati  ya Ardhi, Maliasili na Utalii, Kamati ya Mambo ya Nje, Ulinzi na Usalama,  Kamati ya  Viwanda, Biashara na Mazingira, Kamati ya Miundombinu, Kamati ya Kilimo, Mifugo na Maji na Kamati ya Sheria ndogo. 


Waheshimiwa Wabunge wakifuatilia jambo katika Semina ya Kupitia Mfumo wa Kisheria na Kisera kuhusu masuala ya Kijinsia na Jinsi katika shughuli za Kibunge iliyofanyika kwenye Msekwa Bungeni Jijini Dodoma hii leo.  Semina hiyo imehudhuriwa na Wajumbe wa Kamati  ya Ardhi, Maliasili na Utalii, Kamati ya Mambo ya Nje, Ulinzi na Usalama,  Kamati ya  Viwanda, Biashara na Mazingira, Kamati ya Miundombinu, Kamati ya Kilimo, Mifugo na Maji na Kamati ya Sheria ndogo.


Mheshimiwa Julius Kalanga akichangia jambo katika Semina ya Kupitia Mfumo wa Kisheria na Kisera kuhusu masuala ya Kijinsia na Jinsi katika shughuli za Kibunge iliyofanyika kwenye Msekwa Bungeni Jijini Dodoma hii leo.  Semina hiyo imehudhuriwa na Wajumbe wa Kamati  ya Ardhi, Maliasili na Utalii, Kamati ya Mambo ya Nje, Ulinzi na Usalama,  Kamati ya  Viwanda, Biashara na Mazingira, Kamati ya Miundombinu, Kamati ya Kilimo, Mifugo na Maji na Kamati ya Sheria ndogo.

No comments:

Post a Comment