WELCOME TO TANZANIA NATIONAL ASSEMBLY OFFICIAL BLOG: CONTACT US: P.O.BOX 941 DODOMA, TANZANIA, WEBSITE: parliament.go.tz , FIND US ON FACEBOOK >>> www.facebook.com/bungetz1, FOLLOW US ON TWITTER >>> @bunge_tz.>>>KARIBUNI

Monday, June 10, 2019

SPIKA WA BUNGE LA RWANDA ATEMBELEA BUNGE LA TANZANIA

 Spika wa Bunge, Mhe. Job Ndugai (kulia) akizungumza  na Spika wa Bunge la Rwanda, Mhe. Mukabalisa Donatille Ofisini kwake Jijini Dodoma mapema leo wakati Spika huyo wa Rwanda akiwa ameambatana na Wabunge wawili walipoanza ziara ya siku tatu ya kutembelea Bunge la Tanzania. 
 Spika wa Bunge, Mhe. Job Ndugai akimkaribisha Spika wa Bunge la Rwanda, Mhe. Mukabalisa Donatille katika meza yake wakati alipomtembeza katika Ukumbi wa Bunge Jijini Dodoma.
 Spika wa Bunge, Mhe. Job Ndugai akimueleza jambo Spika wa Bunge la Rwanda, Mhe. Mukabalisa Donatille wakati alipomkaribisha kukaa katika kiti chake cha Uspika ukumbi wa Bunge Jijini Dodoma.
 Spika wa Bunge, Mhe. Job Ndugai (kulia) katika picha ya pamoja na Spika wa Bunge la Rwanda, Mhe. Mukabalisa Donatille ndani ya ukumbi wa Bunge Jijini Dodoma.

 Spika wa Bunge, Mhe. Job Ndugai akizungumza na Spika wa Bunge la Rwanda, Mhe. Mukabalisa Donatille pamoja na Naibu Spika, Mhe. Dkt. Tulia Ackson wakati wa ziara ya Spika huyo wa Rwanda katika Bunge la Tanzania.
 Spika wa Bunge, Mhe. Job Ndugai akizungumza na Spika wa Bunge la Rwanda, Mhe. Mukabalisa Donatille pamoja na Naibu Spika, Mhe. Dkt. Tulia Ackson wakati wa ziara ya Spika huyo wa Rwanda katika Bunge la Tanzania.
 Spika wa Bunge (wapili kulia) akizungumza wakati wa kikao kati ya Wajumbe kutoka Bunge la Tanzania na Wajumbe kutoka Bunge la Rwanda wakiongozwa na Spika wa Bunge hilo Mhe. Mukabalisa Donatille (wa pili kushoto) Jijini Dodoma.
 Spika wa Bunge, Mhe. Job Ndugai (kulia) akimkabidhi picha ya Jengo la Bunge Spika wa Bunge la Rwanda, Mhe. Mukabalisa Donatille Ofisini kwake Jijini Dodoma.
 Spika wa Bunge la Rwanda, Mhe. Mukabalisa Donatille akifurahia jambo  na Naibu Spika Dkt. Tulia Ackson wakati wa ziara yake katika Bunge la Tanzania.
 Spika wa Bunge la Rwanda, Mhe. Mukabalisa Donatille akifurahia jambo  na Naibu Spika Dkt. Tulia Ackson wakati wa ziara yake katika Bunge la Tanzania.
 Spika wa Bunge la Rwanda, Mhe. Mukabalisa Donatille akifurahia jambo  na Naibu Spika Dkt. Tulia Ackson wakati wa ziara yake katika Bunge la Tanzania.
 Spika wa Bunge, Mhe. Job Ndugai (wa pili kulia), Spika wa Bunge la Rwanda, Mhe. Mukabalisa Donatille (wa tatu kulia), Naibu Spika wa Bunge, Mhe. Dkt. Tulia Ackson (wa nne kulia), Katibu wa Bunge, Ndg. Stephen kagaigai (kulia), Waheshimiwa Wabunge na watumishi wa Ofisi ya Bunge wakifurahia ngoma zenye asili ya kigogo baada ya kumpokea Spika wa Bunge la Rwanda katika katika uwanja wa ndege wa Mjini Dodoma.

Spika wa Bunge, Mhe. Job Ndugai (Kushoto) akiongozana na Spika wa Bunge la Rwanda, Mhe. Mukabalisa Donatille alipowasili leo katika uwanja wa ndege wa Mjini Dodoma. Kulia ni Naibu Spika wa Bunge, Dkt. Tulia Ackson

No comments:

Post a Comment