WELCOME TO TANZANIA NATIONAL ASSEMBLY OFFICIAL BLOG: CONTACT US: P.O.BOX 941 DODOMA, TANZANIA, WEBSITE: parliament.go.tz , FIND US ON FACEBOOK >>> www.facebook.com/bungetz1, FOLLOW US ON TWITTER >>> @bunge_tz.>>>KARIBUNI

Tuesday, August 20, 2019

KAMATI YA UTAWALA NA SERIKALI ZA MITAA YAJADILI MUSWADA WA SHERIA YA SERIKALI MTANDAO WA MWAKA 2019



Mshauri wa Masuala ya Sheria wa Bunge Ndg. Mosi Lukuvi

 akitoa maelezo ya uchambuzi wa Muswada wa Sheria ya Serikali 

Mtandao 2019  (The e-Gvernment Act 2019),kwa Kamati ya 

Utawala na Serikali za Mitaa,Jijini Dodoma. Kulia ni Makamu 

Mwenyekiti wa Kamati hiyo Mheshimiwa Mwanne Nchemba na 

katikati ni Katibu wa Kamati hiyo Ndg. Chacha Nyakega. 

Mshauri wa Masuala ya Sheria wa Bunge Ndg. Mosi Lukuvi

 akitoa maelezo ya uchambuzi wa Muswada wa Sheria ya Serikali 

Mtandao 2019  (The e-Gvernment Act 2019),kwa Kamati ya 

Utawala na Serikali za Mitaa,Jijini Dodoma. Kulia ni Makamu 

Mwenyekiti wa Kamati hiyo Mheshimiwa Mwanne Nchemba na 

katikati ni Katibu wa Kamati hiyo Ndg. Chacha Nyakega. 

Wajumbe wa Kamati ya Utawala na Serikali za Mitaa wakisikiliza

 maelezo ya uchambuzi wa Muswada wa Sheria ya Serikali 

Mtandao 2019  (The e-Gvernment Act 2019)kutoka kwa Mshauri 

wa Masuala ya Sheria wa Bunge Ndg. Mosi Lukuvi.


No comments:

Post a Comment