WELCOME TO TANZANIA NATIONAL ASSEMBLY OFFICIAL BLOG: CONTACT US: P.O.BOX 941 DODOMA, TANZANIA, WEBSITE: parliament.go.tz , FIND US ON FACEBOOK >>> www.facebook.com/bungetz1, FOLLOW US ON TWITTER >>> @bunge_tz.>>>KARIBUNI

Tuesday, August 20, 2019

WAJUMBE WA KAMATI YA BAJETI WAKIWA KATIKA KIKAO

Wajumbe wa Kamati ya Bunge ya Bajeti wakiwa katika kikao cha Kamati hiyo kilichofanyika katika Ofisi za Bunge Jijini Dodoma

Wajumbe wa Kamati ya Bunge ya Bajeti wakiwa katika kikao cha Kamati hiyo kilichofanyika katika Ofisi za Bunge Jijini Dodoma


Afisa Bajeti kutoka Ofisi ya Bunge, Maombi Kakozi akifafanua jambo  kwa Wajumbe wa Kamati ya Bunge ya Bajeti katika kikao cha Kamati hiyo kilichofanyika katika Ofisi za Bunge Jijini Dodoma

No comments:

Post a Comment