WELCOME TO TANZANIA NATIONAL ASSEMBLY OFFICIAL BLOG: CONTACT US: P.O.BOX 941 DODOMA, TANZANIA, WEBSITE: parliament.go.tz , FIND US ON FACEBOOK >>> www.facebook.com/bungetz1, FOLLOW US ON TWITTER >>> @bunge_tz.>>>KARIBUNI

Tuesday, May 25, 2021

KAMATI YA ARDHI, MALIASILI NA UTALII YAPEWA MAFUNZO JUU YA MASUALA YA UMILIKI WA ARDHI

Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Ardhi, Maliasili na Utalii Mhe. Aloyce Kwezi akichangia jambo kwenye Mafunzo juu ya mtazamo wa kijinsia katika umiliki wa ardhi hapa nchini yaliyotolewa kwa Wajumbe wa Kamati hiyo kwa ushirikiano baina ya TGNP, WFT na HakiArdhi Jijini Dodoma. 

Wajumbe wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Ardhi, Maliasili na Utalii Mhe. Wakifuatilia jambo kwenye Mafunzo juu ya mtazamo wa kijinsia katika umiliki wa ardhi hapa nchini yaliyotolewa kwa Wajumbe wa Kamati hiyo kwa ushirikiano baina ya TGNP, WFT na HakiArdhi Jijini Dodoma.  

Afisa Mwandamizi wa Program kutoka  TGNP Bi. Anna Sangai(katikati)akifafanua jambo kwenye Mafunzo juu ya mtazamo wa kijinsia katika umiliki wa ardhi hapa nchini yaliyotolewa kwa Wajumbe wa Kamati ya Ardhi, Maliasili na Utalii kwa ushirikiano baina ya TGNP, WFT na HakiArdhi Jijini Dodoma.

 

No comments:

Post a Comment