WELCOME TO TANZANIA NATIONAL ASSEMBLY OFFICIAL BLOG: CONTACT US: P.O.BOX 941 DODOMA, TANZANIA, WEBSITE: parliament.go.tz , FIND US ON FACEBOOK >>> www.facebook.com/bungetz1, FOLLOW US ON TWITTER >>> @bunge_tz.>>>KARIBUNI

Monday, June 21, 2021

WAPEWA MAFUNZO JUU YA HALI HALISI YA MALEZI, MAKUZI NA MAENDELEO YA AWALI YA MTOTO NCHINI

Mwakilishi wa Shirika la Elizabeth Glacies Foundation Ndg. Josephine Ferla akiwasilisha mada kwenye Semina ya Wabunge juu ya Hali ya Malezi, Makuzi na Maendeleo ya awali ya Mtoto iliyofanyika kwenye Ukumbi wa Morena Jijini Dodoma. 

Naibu Waziri wa Afya anayeshughulikia Maendeleo ya Jamii,  Mhe. Mwanaidi Ali Khamis akifafanua jambo kwenye Semina ya Wabunge juu ya Hali ya Malezi, Makuzi na Maendeleo ya awali ya Mtoto hii leo Jijini Dodoma. 

Mbunge wa Momba Mhe.  Condester Sichalwe akichangia jambo kwenye Semina ya Wabunge juu ya Hali ya Malezi, Makuzi na Maendeleo ya awali ya Mtoto hii leo Jijini Dodoma. 


No comments:

Post a Comment