WELCOME TO TANZANIA NATIONAL ASSEMBLY OFFICIAL BLOG: CONTACT US: P.O.BOX 941 DODOMA, TANZANIA, WEBSITE: parliament.go.tz , FIND US ON FACEBOOK >>> www.facebook.com/bungetz1, FOLLOW US ON TWITTER >>> @bunge_tz.>>>KARIBUNI

Thursday, June 24, 2021

WABUNGE WAPEWA SEMINA KUHUSU MICHEZO YA KUBAHATISHA


Naibu Spika wa Bunge,Mheshimiwa Dkt. Tulia Ackson akizungumza akipokuwa akifungua semina ya wabunge kuhusu makampuni yanayojihusisha na michezo ya kubahatisha jinsi yanavyofanya kazi zao hapa nchini na mchango wao katika uchumi wa nchi, iliyofanyika jijini Dodoma jana

Mwenyekiti wa Chama cha Waendesha Michezo ya Kubahatisha nchini, Jimmy Brian akitoa mada katika semina ya wabunge kuhusu michezo ya kubahatisha inavyofanyika hapa nchini na mchango wao katika kukuza uchumi wa nchi, iliyofanyika jijini Dodoma jana.


No comments:

Post a Comment