KAMATI YA BUNGE YA KATIBA NA SHERIA YAKUTANA NA WIZARA YA KATIBA NA SHERIA
Kamati ya Bunge ya Katiba na Sheria yapokea Taarifa ya Wizara ya katiba na Sheria kuhusu ufanisi wa uendeshaji wa chuo cha Usimamizi wa Mahakama Lushoto- IJA katika kutatua changamoto ya ukosefu wa Mahakama katika Mahakama za Mwanzo leo tarehe 26 Agosti 2021
No comments:
Post a Comment