WELCOME TO TANZANIA NATIONAL ASSEMBLY OFFICIAL BLOG: CONTACT US: P.O.BOX 941 DODOMA, TANZANIA, WEBSITE: parliament.go.tz , FIND US ON FACEBOOK >>> www.facebook.com/bungetz1, FOLLOW US ON TWITTER >>> @bunge_tz.>>>KARIBUNI

Thursday, December 9, 2021

PICHA:TIMU YA BUNGE LA TANZANIA YA WANAWAKE YA MPIRA WA WAVU YAITANDIKA TIMU YA BUNGE LA KENYA SETI 3-0

Timu ya Bunge la Tanzania ya Wanawake ya Mpira wa Wavu (yenye jezi ya bluu) imeitandika Timu ya Bunge la Kenya kwa Seti 3-0 katika mechi ya mashindano ya Michezo ya Mabunge ya Jumuiya ya Afrika Mashariki inayoendelea Jijini Arusha.
Timu ya Bunge la Tanzania ya Wanawake ya Mpira wa Wavu (yenye jezi ya bluu) imeitandika Timu ya Bunge la Kenya kwa Seti 3-0 katika mechi ya mashindano ya Michezo ya Mabunge ya Jumuiya ya Afrika Mashariki inayoendelea Jijini Arusha.
Timu ya Bunge la Tanzania ya Wanawake ya Mpira wa Wavu (yenye jezi ya bluu) imeitandika Timu ya Bunge la Kenya kwa Seti 3-0 katika mechi ya mashindano ya Michezo ya Mabunge ya Jumuiya ya Afrika Mashariki inayoendelea Jijini Arusha.


 Timu ya Bunge la Tanzania ya Wanawake ya Mpira wa Wavu (yenye jezi ya bluu) imeitandika Timu ya Bunge la Kenya kwa Seti 3-0 katika mechi ya mashindano ya Michezo ya Mabunge ya Jumuiya ya Afrika Mashariki inayoendelea Jijini Arusha.

No comments:

Post a Comment