WELCOME TO TANZANIA NATIONAL ASSEMBLY OFFICIAL BLOG: CONTACT US: P.O.BOX 941 DODOMA, TANZANIA, WEBSITE: parliament.go.tz , FIND US ON FACEBOOK >>> www.facebook.com/bungetz1, FOLLOW US ON TWITTER >>> @bunge_tz.>>>KARIBUNI

Thursday, December 16, 2021

TIMU YA MPIRA WA MIGUU YA BUNGE LA TANZANIA YAENDELEA KUTOA DOZI MICHEZO AFRIKA MASHARIKI, YAICHAKAZA BURUNDI GOLI 5-1

Mshambuliaji wa Timu ya Mpira wa Miguu ya Bunge la Tanzania, Simai Hassan Sadiki (kulia) akimtoka Beki wa Timu ya Burundi wakati wa mechi ya Mashidano ya Michezo ya Mabunge ya Jumuiya ya Afrika Mshariki inayoendelea Jijini Arusha. Timu ya Tanzania ilishinda kwa goli 5-1.

 Nahodha  wa Timu ya Mpira wa Miguu ya Bunge la Tanzania, Cosato Chumi  (kushoto) akidhibiti mpira mbele ya  Mabeki wa Timu ya Burundi wakati wa mechi ya Mashidano ya Michezo ya Mabunge ya Jumuiya ya Afrika Mshariki inayoendelea Jijini Arusha. Timu ya Tanzania ilishinda kwa goli 5-1.

Kiungo  wa Timu ya Mpira wa Miguu ya Bunge la Tanzania, Ramadhan Suleiman  Ramadhan  (kulia) apiga pasi mbele ya Kiungo wa wa Timu ya Burundi wakati wa mechi ya Mashidano ya Michezo ya Mabunge ya Jumuiya ya Afrika Mshariki inayoendelea Jijini Arusha. Timu ya Tanzania ilishinda kwa goli 5-1.

Mshambuliaji wa Timu ya Mpira wa Miguu ya Bunge la Tanzania, Ridhiwan Kikwete (katikati) akiwatoka Mabeki wa Timu ya Burundi wakati wa mechi ya Mashidano ya Michezo ya Mabunge ya Jumuiya ya Afrika Mshariki inayoendelea Jijini Arusha. Timu ya Tanzania ilishinda kwa goli 5-1.

Nahodha Msaidizi Timu ya Mpira wa Miguu ya Bunge la Tanzania, Athony Mavunde  akiwatoka viungo wa wa Timu ya Burundi wakati wa mechi ya Mashidano ya Michezo ya Mabunge ya Jumuiya ya Afrika Mshariki inayoendelea Jijini Arusha. Timu ya Tanzania ilishinda kwa goli 5-1.

 

No comments:

Post a Comment