WELCOME TO TANZANIA NATIONAL ASSEMBLY OFFICIAL BLOG: CONTACT US: P.O.BOX 941 DODOMA, TANZANIA, WEBSITE: parliament.go.tz , FIND US ON FACEBOOK >>> www.facebook.com/bungetz1, FOLLOW US ON TWITTER >>> @bunge_tz.>>>KARIBUNI

Tuesday, April 5, 2022

SPIKA DKT. TULIA AKUTANA NA KUFANYA MAZUNGUMZO NA BALOZI WA ALGERIA NCHINI


Spika wa Bunge, Mhe. Dkt. Tulia Ackson (Mb) akizungumza na Balozi wa Algeria Nchini Tanzania, Mhe. Ahmed Djellal leo Aprili 5, 2022 ofisini kwake Bungeni Jijini Dodoma.



Spika wa Bunge, Mhe. Dkt. Tulia Ackson (Mb) akipokea zawadi kutoka kwa Balozi wa Algeria Nchini Tanzania, Mhe. Ahmed Djellal leo Aprili 5, 2022 ofisini kwake Bungeni Jijini Dodoma.


 

Spika wa Bunge, Mhe. Dkt. Tulia Ackson (Mb) akiwa katika picha ya pamoja na Balozi wa Algeria Nchini Tanzania, Mhe. Ahmed Djellal leo Aprili 5, 2022 ofisini kwake Bungeni Jijini Dodoma.



Spika wa Bunge, Mhe. Dkt. Tulia Ackson (Mb) akiagana na Balozi wa Algeria Nchini Tanzania, Mhe. Ahmed Djellal leo Aprili 5, 2022 ofisini kwake Bungeni Jijini Dodoma.

No comments:

Post a Comment