WELCOME TO TANZANIA NATIONAL ASSEMBLY OFFICIAL BLOG: CONTACT US: P.O.BOX 941 DODOMA, TANZANIA, WEBSITE: parliament.go.tz , FIND US ON FACEBOOK >>> www.facebook.com/bungetz1, FOLLOW US ON TWITTER >>> @bunge_tz.>>>KARIBUNI

Friday, November 17, 2023

KATIBU NENELWA AONGOZA KIKAO CHA BARAZA LA WAFANYAKAZI WA OFISI YA BUNGE JIJINI DAR ES SALAAM


















Mwenyekiti wa Baraza la Wafanyakazi ofisi ya Bunge, Ndg. Nenelwa Mwihambi, ndc ameongoza kikao cha Baraza hilo kilichopokea taarifa ya utekelezaji wa Bajeti ya mfuko wa Bunge kwa Mwaka wa Fedha 2023/2024 na taarifa ya utekelezaji wa majukumu ya idara ya utawala na rasilimali watu kwa Mwezi Julai - Septemba 2023 kilichofanyika katika hoteli na Kituo cha Mikutano cha APC Jijini Dar es Salaam.


 

No comments:

Post a Comment