WELCOME TO TANZANIA NATIONAL ASSEMBLY OFFICIAL BLOG: CONTACT US: P.O.BOX 941 DODOMA, TANZANIA, WEBSITE: parliament.go.tz , FIND US ON FACEBOOK >>> www.facebook.com/bungetz1, FOLLOW US ON TWITTER >>> @bunge_tz.>>>KARIBUNI

Tuesday, January 9, 2024

VIONGOZI WA DINI, VYAMA VYA SIASA WAMEENDELEA KUTOA MAONI KUHUSU MISWADA MINNE YA SHERIA ILIYOSOMWA BUNGENI KWA MARA YA KWANZA


Mwenyekiti wa kamati ya kudumu ya Bunge ya Utawala, Katiba na Sheria, Mhe. Joseph Mhagama akiongoza kikao cha kamati hiyo kilichopokea maoni ya wadau kuhusu miswada minne ya Sheria iliyosomwa Bungeni kwa mara ya kwanza wakati wa Mkutano wa Kumi na Tatu wa Bunge leo tarehe 9 Januari, 2023 Bungeni Jijini Dodoma. Kushoto ni Makamu Mwenyekiti wa kamati hiyo, Mhe. Florent Kyombo na Katibu wa kamati hiyo, Ndg. Frank Nkya.


Askofu Mkuu Mstaafu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), Askofu Fredrick Shoo akitoa maoni wakati wa uotaji wa maoni ya wadau mbalimbali kuhusu Miswada minne ya Sheria iliyosomwa Bungeni kwa mara ya kwanza wakati wa Mkutano wa Kumi na Tatu wa Bunge leo tarehe 9 Januari, 2024 katika Ukumbi wa Msekwa Bungeni, Jijini Dodoma.




Mwenyekiti wa UWT Taifa, Mhe. Mary Chatanda akitoa maoni kwa niaba ya Chama cha Mapinduzi (CCM) wakati wa uotaji wa maoni ya wadau mbalimbali kuhusu Miswada minne ya Sheria iliyosomwa Bungeni kwa mara ya kwanza wakati wa Mkutano wa Kumi na Tatu wa Bunge leo tarehe 9 Januari, 2024 katika Ukumbi wa Msekwa Bungeni, Jijini Dodoma.



Mbunge Mstaafu na Mwakilishi kutoka NCCR Mageuzi, Mhe. Joseph Selasini akitoa maoni kuhusu miswada minne ya Sheria iliyosomwa Bungeni kwa mara ya kwanza wakati wa Mkutano wa Kumi na Tatu wa Bunge leo tarehe 9 Januari, 2023 Bungeni Jijini Dodoma.



Mjumbe wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Utawala, Katiba na Sheria na Mbunge wa Viti Maalum, Mhe. Khadija Taya akichangia jambo wakati wa utoaji wa maoni kwa wadau kuhusu miswada minne ya Sheria iliyosomwa Bungeni kwa mara ya kwanza wakati wa Mkutano wa Kumi na Tatu wa Bunge leo tarehe 9 Januari, 2023 Bungeni Jijini Dodoma.


Wajumbe wa kamati ya kudumu ya Bunge ya Utawala, Katiba na Sheria wakifuatilia maoni ya wadau kuhusu miswada minne ya Sheria iliyosomwa Bungeni kwa mara ya kwanza wakati wa Mkutano wa Kumi na Tatu wa Bunge leo tarehe 9 Januari, 2023 Bungeni Jijini Dodoma.



Wadau Mbalimbali wakifuatilia utoaji wa maoni kuhusu miswada minne ya Sheria iliyosomwa Bungeni kwa mara ya kwanza wakati wa Mkutano wa Kumi na Tatu wa Bunge leo tarehe 9 Januari, 2023 Bungeni Jijini Dodoma.


No comments:

Post a Comment