Friday, January 31, 2025
Tuesday, January 28, 2025
Monday, January 27, 2025
Wednesday, January 15, 2025
WAJUMBE WA KAMATI YA KUDUMU YA BUNGE YA MAMBO YA NJE WAPOKEA NA KUJADILI TAARIFA YA CPA NA JUKWAA LA MAZIWA MAKUU

Wajumbe wa Kamati ya
Kudumu ya Bunge ya Mambo ya Nje, Ulinzi na Usalama wakiongozwa na Mwenyekiti,
Mhe. Vita Kawawa wamepokea na kujadili Taarifa za Wawakilishi wa Tanzania
katika Chama cha Mabunge ya Jumuiya ya Madola (Commonwealth Parliamentary
Association-CPA) Tawi la Tanzania; na Jukwaa la Maziwa Makuu (Great Lakes)
katika kikao kilichofanyika tarehe 14 Januari, 2025 Bungeni Jijini Dodoma.
Subscribe to:
Posts (Atom)