Watumishi wa Ofisi ya Bunge wakitoa elimu ya umma kuhusu Bunge kwa Shule ya Sekondari ya Mtwara Sisters, Shule ya Sekondari ya Ufundi Mtwara na Shule ya Sekondari ya Shangani zilizopo Halmashauri ya Wilaya ya Mtwara, Mkoa wa Mtwara tarehe 26 Februari, 2025.
No comments:
Post a Comment