WELCOME TO TANZANIA NATIONAL ASSEMBLY OFFICIAL BLOG: CONTACT US: P.O.BOX 941 DODOMA, TANZANIA, WEBSITE: parliament.go.tz , FIND US ON FACEBOOK >>> www.facebook.com/bungetz1, FOLLOW US ON TWITTER >>> @bunge_tz.>>>KARIBUNI

Monday, May 1, 2017

BUNGE LAAHIDI KUZIFANYIA KAZI KWA HARAKA SHERIA ZOTE ZINAZOHUSU WAFANYAKAZI ZITAKAPOFIKISHWA BUNGENI

      Spika wa Bunge Mhe. Job Ndugai akisalimiana na Rais Wa TUCTA wakati akiwasili katika uwanja wa Chuo Kikuu cha Ushirika alipohudhuria sherehe za Mei Mosi.

Spika wa Bunge Mhe. Job Ndugai akisalimiana na  Waziriwa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu Sera, Bunge, Ajira Vijana na Walemavu Mhe. Jenista Mhagama wakati akiwasili katika uwanja wa Chuo Kikuu cha Ushirika alipohudhuria sherehe za Mei Mosi.

Rais Mhe. John Magufuli na Meza kuu wakipungia wafanyakazi wakati wakipokea maandamo katika sherehe za Mei Mosi, zilizofanyika Kitaifa mijini Moshi, Mkoani Kilimanjaro  

         Makamishna wa Tume ya Ofisi ya Bunge,Kutoka kushoto ni Mhe. Azan Zungu, Mhe. Mchungaji Peter Msigwa, Mhe. Magdalena Sakaya na Mhe. Mary Chatanda wakifatilia shamra shamra za  sherehe za Mei Mosi, zilizofanyika Kitaifa mijini moshi.

Baadhi ya Wabunge wa waliohudhuria sherehe za Mei Mosi, zilizofanyika Kitaifa mjini Moshi, Mkoani Kilimanjaro.

   Baadhi ya Wabunge wa waliohudhuria sherehe za Mei Mosi, zilizofanyika Kitaifa mjini Moshi, Mkoani Kilimanjaro.

 Baadhi ya Wabunge wa waliohudhuria sherehe za Mei Mosi, zilizofanyika Kitaifa mjini Moshi, Mkoani Kilimanjaro.

 Baadhi ya Wabunge wa waliohudhuria sherehe za Mei Mosi, zilizofanyika Kitaifa mjini Moshi, Mkoani Kilimanjaro.

 Baadhi ya Wabunge wa waliohudhuria sherehe za Mei Mosi, zilizofanyika Kitaifa mjini Moshi, Mkoani Kilimanjaro.

Mfanyakazi bora wa Ofisi ya Bunge, Bi. Lidya 
Mwaipyana (katikati) akiwa katika sherehe za Mei Mosi, zilizofanyika kitaifa mjini Moshi, mkoani Kilimanjaro.

 

          Baadhi ya wafanyakazi wa Bunge walioshitiki sherehe za Mei Mosi, zilizofanyika kitaifa mjini Moshi, mkoani Kilimanjaro.

Spika wa Bunge Mhe. Job Ndugai akitoa ahadi kwa wafanyakazi na mbele ya Mhe.Rais, ya kuzifanyia kazi kwa haraka sheria zote zinazohusu wafanyakazi pindi zitakapofikishwa Bungeni katika sherehe za Mei Mosi zilizofanyika mjini Moshi.

Friday, April 28, 2017

KATIBU WA BUNGE AKIONGOZA KIKAO CHA MENEJIMENTI YA OFISI YA BUNGE

Katibu wa Bunge Dkt Thomas Kashililah akizungumza wakati wa kikao cha Menejimenti ya Ofisi ya Bunge kilichofanyika leo Mjini Dodoma

 Katibu wa Bunge Dkt Thomas Kashililah akizungumza wakati wa kikao cha Menejimenti ya Ofisi ya Bunge kilichofanyika leo Mjini Dodoma
 Katibu wa Bunge Dkt Thomas Kashililah akizungumza wakati wa kikao cha Menejimenti ya Ofisi ya Bunge kilichofanyika leo Mjini Dodoma
Mwenyekiti wa TUGHE Tawi la Bunge, Ndg. Chacha Nyakega (aliesimama) akifafanua jambo wakati wa kikao hicho

SPIKA AKUTANA NA BALOZI WA IRAN NCHINI

Spika wa Bunge, Mhe. Job Ndugai (kushoto)akisalimiana na Balozi wa Iran nchini Tanzania, Mhe. Mousa Farhang (Kulia) walipokutana leo katika kikao kilichofanyika ofisini kwake Mjini Dodoma

Spika wa Bunge, Mhe. Job Ndugai (kushoto) akizungumza na ugeni kutoka Ubalozi wa Iran nchini Tanzania, katikati ni Balozi wa Iran nchini Tanzania, Mhe. Mousa Farhang katika kikao kilichofanyika leo Ofisini kwake Mjini Dodoma.

Spika wa Bunge, Mhe. Job Ndugai (kushoto)akikabidhiwa  zawadi ya Busati toka kwa Balozi wa Iran nchini Tanzania, Mhe. Mousa Farhang (Kulia) walipokutana leo katika kikao kilichofanyika ofisini kwake Mjini Dodoma.

Spika wa Bunge, Mhe. Job Ndugai (kushoto) katika picha ya pamoja na Balozi wa Iran nchini Tanzania, Mhe. Mousa Farhang (Kulia) walipokutana leo katika kikao kilichofanyika ofisini kwake Mjini Dodoma

MHE SPIKA AKUTANA NA SPIKA MSTAAFU

Spika wa Bunge, Mhe. Job Ndugai (kushoto) akimsikiliza Spika Mstaafu, Mhe. Anne Makinda (kulia) ugeni uliomtembelea leo Ofisini kwake Mjini Dodoma.


Tuesday, April 25, 2017

MHE SPIKA AZUNGUMZA NA UJUMBE KUTOKA BUNGE LA ZAMBIA


Spika wa Bunge, Mhe. Job Ndugai akizungumza na Waheshimiwa Wabunge kutoka Bunge la Zambia ambao pia ni Wajumbe wa kamati ya Miundombinu kutoka Bunge hilo waliokuja kubadilishana uzoefu na kamati ya kudumu ya Bunge ya Miundombinu, katika kikao kilichofanyika leo Ukumbi wa Spika Mjini Dodoma.

Spika wa Bunge, Mhe. Job Ndugai (wa pili kulia)akimkabidhi kitabu chenye Sheria Mbali mbali za Bunge Mhe. Douglas Syakalima (wa pili kushoto), ambaye ni Mwenyekiti wa kamati ya Miundombinu na Kiongozi wa Msafara wa kutoka Bunge hilo, Wabunge hao wamekuja kubadilishana uzoefu na kamati ya kudumu ya Bunge ya Miundombinu katika kikao kilichofanyika leo Ukumbi wa Spika Mjini Dodoma. Kushoto ni Naibu Spika wa Bunge, Mhe. Dkt. Tulia Ackson na kulia ni Mwenyekiti wa Kamati ya Miundombinu Mhe. Prof. Norman Sigala King.


Spika wa Bunge, Mhe. Job Ndugai (Kaunda suti nyeusi katikati)katika picha ya pamoja na Waheshimiwa Wabunge kutoka Bunge la Zambia ambao pia ni Wajumbe wa kamati ya Miundombinu kutoka Bunge hilo waliokuja kubadilishana uzoefu na kamati ya kudumu ya Bunge ya Miundombinu wakiongozwa na Mhe. Douglas Syakalima, ambae ni Mwenyekiti wa Kamati na Kiongozi wa Msafara/Ujumbe huo katika kikao kilichofanyika leo Ukumbi wa Spika Mjini Dodoma.






Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Miundombinu, Mhe. Prof. Norman Sigala King akizungumza na Waheshimiwa Wabunge kutoka Bunge la Zambia ambao pia ni Wajumbe wa kamati ya Miundombinu kutoka Bunge hilo waliokuja kubadilishana uzoefu na kamati ya kudumu ya Bunge ya Miundombinu, katika kikao kilichofanyika leo Ukumbi wa Spika Mjini Dodoma.