Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Bajeti, Mhe. Hawa Ghasia
akielekezwa jinsi ya kutumia risiti ya Mwendokasi kwa ajili ya kuingia kituoni
kusubiri basi.
Tuesday, August 29, 2017
Saturday, August 26, 2017
KAMATI YA BUNGE YA BAJETI YATEMBELEA KIWANDA CHA SARUJI CHA DANGOTE NA BANDARI YA MTWARA
Wajumbe wa Kamati ya Bunge ya Bajeti wakikagua mradi wa ujenzi wa Gati jipya la Bandari ya Mtwara.
|
|
Mkurugenzi Mkazi wa Kiwanda cha Saruji cha Dangote, Hemendra
Raithatha akitoa maelezo kuhusiana na Kiwanda hicho kwa Kamati ya Bunge ya
Bajeti wakati Kamati hiyo ilipotembelea Kiwanda hicho kilichopo Mkoani Mtwara.
|
| Wajumbe wa Kamati Bunge ya Bajeti wakikagua eneo la machimbo ya ‘lime stone’ ambayo Kiwanda cha Saruji Dangote kinachimba kwa ajili ya kutengenezea saruji |
Subscribe to:
Posts (Atom)