WELCOME TO TANZANIA NATIONAL ASSEMBLY OFFICIAL BLOG: CONTACT US: P.O.BOX 941 DODOMA, TANZANIA, WEBSITE: parliament.go.tz , FIND US ON FACEBOOK >>> www.facebook.com/bungetz1, FOLLOW US ON TWITTER >>> @bunge_tz.>>>KARIBUNI

Tuesday, August 29, 2017

WAJUMBE WA KAMATI YA BAJETI WATEMBELEA MRADI WA MABASI YA MWENDOKASI KUANGALIA MFUMO WA UKUSANYAJI NAULI



Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Bajeti, Mhe. Hawa Ghasia akielekezwa jinsi ya kutumia risiti ya Mwendokasi kwa ajili ya kuingia kituoni kusubiri basi.

Wajumbe wa Kamati ya Bunge ya Bajeti wakiwa ndani ya Basi la Mwendo Kasi wakielekea Hospitali ya Muhimbili Jijini Dar es Salaam, wajumbe hao walikuwa wakikagua mfumo wa kukusanya fedha za nauli kwa mabasi hayo uliotengenezwa na Kampuni ya Maxcom.

No comments:

Post a Comment