WELCOME TO TANZANIA NATIONAL ASSEMBLY OFFICIAL BLOG: CONTACT US: P.O.BOX 941 DODOMA, TANZANIA, WEBSITE: parliament.go.tz , FIND US ON FACEBOOK >>> www.facebook.com/bungetz1, FOLLOW US ON TWITTER >>> @bunge_tz.>>>KARIBUNI

Thursday, August 26, 2021

KAMATI YA BUNGE YA KATIBA NA SHERIA YAKUTANA NA WIZARA YA KATIBA NA SHERIA




Kamati ya Bunge ya Katiba na Sheria yapokea Taarifa ya Wizara ya katiba na Sheria kuhusu ufanisi wa uendeshaji wa chuo cha Usimamizi wa Mahakama Lushoto- IJA katika kutatua changamoto ya ukosefu wa Mahakama katika Mahakama za Mwanzo leo tarehe 26 Agosti 2021



 

Tuesday, August 24, 2021

KAMATI YA BUNGE YA MIUNDOMBINU YAJADILI TAARIFA YA WIZARA YA UJENZI


Kamati ya Bunge ya Miundombinu yapokea na kujadili Taarifa ya Wizara ya Ujenzi na Uchukuzi kuhusu ujenzi wa kiwanja cha ndege cha Dodoma pamoja na ujenzi wa kiwanja cha kimataifa cha Msalato tarehe 23 Agosti 2021
 
Kamati ya Bunge ya Miundombinu yapokea na kujadili Taarifa ya Wizara ya Ujenzi na Uchukuzi kuhusu ujenzi wa kiwanja cha ndege cha Dodoma pamoja na ujenzi wa kiwanja cha kimataifa cha Msalato tarehe 23 Agosti 2021
 


Kamati ya Bunge ya Miundombinu yapokea na kujadili Taarifa ya Wizara ya Ujenzi na Uchukuzi kuhusu ujenzi wa kiwanja cha ndege cha Dodoma pamoja na ujenzi wa kiwanja cha kimataifa cha Msalato tarehe 23 Agosti 2021
 

KAMATI YA KILIMO, MIFUGO NA UVUVI YAKUTANA NA WIZARA YA MAJI

 Kamati ya Kilimo, Mifugo na Maji yakutana na Wizara ya Maji na kupokea taarifa kuhusu Usimamizi  wa Rasilimali za Maji nchini hususan shughuli zinazotekelezwa na mabonde ya maji tarehe 23 Agosti 2021


 Kamati ya Kilimo, Mifugo na Maji yakutana na Wizara ya Maji na kupokea taarifa kuhusu Usimamizi  wa Rasilimali za Maji nchini hususan shughuli zinazotekelezwa na mabonde ya maji tarehe 23 Agosti 2021




 Kamati ya Kilimo, Mifugo na Maji yakutana na Wizara ya Maji na kupokea taarifa kuhusu Usimamizi  wa Rasilimali za Maji nchini hususan shughuli zinazotekelezwa na mabonde ya maji tarehe 23 Agosti 2021

KAMATI YA HUDUMA NA MAENDELEO YA JAMII YAPOKEA TAARIFA

Kamati ya Huduma na Maendeleo ya Jamii yapokea na kujadili Taarifa ya Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto  kuhusu hatua iliyofikiwa katika maandalizi ya Muswada wa Sheria ya Bima ya Afya kwa wote tarehe 24 Agosti 2021

Kamati ya Huduma na Maendeleo ya Jamii yapokea na kujadili Taarifa ya Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto  kuhusu hatua iliyofikiwa katika maandalizi ya Muswada wa Sheria ya Bima ya Afya kwa wote tarehe 24 Agosti 2021
 

Friday, August 20, 2021

KAMATI YA BAJETI YAPEWA NAFUNZO KUHUSU KUHUSU SERA NA SHERIA YA UBIA





 

Kamishna Msaidizi Idara ya ubia wa sekta ya umma na sekta binafsi kutoka Wizara ya Fedha na Mipango, Irene Rugemalila akiwasilisha mada kuhusu sera na sheria ya ubia baina ya sekta binafsi na sekta ya umma katika kikao cha Kamati ya Bunge ya Bajeti kilichofanyika Bungeni Jijini Dodoma

Kamishna Msaidizi Idara ya ubia wa sekta ya umma na sekta binafsi kutoka Wizara ya Fedha na Mipango, Irene Rugemalila akiwasilisha mada kuhusu sera na sheria ya ubia baina ya sekta binafsi na sekta ya umma katika kikao cha Kamati ya Bunge ya Bajeti kilichofanyika Bungeni Jijini Dodoma