Wednesday, May 24, 2023
Monday, April 24, 2023
Friday, April 21, 2023
SPIKA DKT. TULIA, KAMATI YA BUNGE YA MAMBO YA NJE WAFANYA MAZUNGUMZO NA KAMATI TEULE YA MHE. RAIS YA KUTATHMINI UFANISI NA UTENDAJI WA WIZARA YA MAMBO YA NJE
Spika wa Bunge,
Mhe. Dkt. Tulia Ackson akizungumza na Wajumbe wa Kamati teule ya Mhe. Rais ya
kutathmini ufanisi na utendaji wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika
Mashariki wakiongozwa na Mwenyekiti, Balozi Mstaafu, Mhe. Hassan Yahya (Kulia kwake) walipomtembelea leo tarehe 20 Aprili, 2023 Bungeni Jijini Dodoma.
Mwenyekiti wa Kamati
teule ya Mhe. Rais ya kutathmini ufanisi na utendaji wa Wizara ya Mambo ya Nje
na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Balozi Mstaafu Hassan Yahya
akizungumza jambo wakati wa kikao kati ya Wajumbe wa kamati hiyo na Spika wa Bunge, Mhe. Dkt. Tulia Ackson (hayupo kwenye picha) kilichofanyika leo tarehe 20 Aprili, 2023 Bungeni Jijini Dodoma.
Wajumbe wa Kamati
teule ya Mhe. Rais ya kutathmini
ufanisi na utendaji wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika
Mashariki wakiwa katika kikao na
Spika wa Bunge, Mhe. Dkt. Tulia Ackson (hayupo kwenye picha) walipomtembelea leo tarehe 20 Aprili,
2023 Bungeni Jijini Dodoma.
Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Mambo ya Nje, Ulinzi na Usalama, Mhe. Vita Kawawa akiongoza kikao kati ya Wajumbe wa Kamati hiyo na Wajumbe wa Kamati teule ya Mhe. Rais ya kutathmini ufanisi na utendaji wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki wakiongozwa na Mwenyekiti, Balozi Mstaafu, Mhe. Hassan Yahya (kushoto kwake) walipowatembelea leo tarehe 20 Aprili, 2023 Bungeni Jijini Dodoma.
Mjumbe wa Kamati ya
Kudumu ya Bunge ya Mambo ya Nje, Ulinzi na Usalama, Mhe. Cosato Chumi
akizungumza jambo wakati wa kikao cha kamati hiyo na Wajumbe wa Kamati teule ya
Mhe. Rais ya kutathmini ufanisi na utendaji wa Wizara ya Mambo ya Nje na
Ushirikiano wa Afrika Mashariki walipowatembelea leo tarehe 20 Aprili, 2023 Bungeni
Jijini Dodoma.
Wajumbe wa Kamati
ya Kudumu ya Bunge ya Mambo ya Nje, Ulinzi na Usalama wakiwa katika kikao cha
kamati hiyo na Wajumbe wa Kamati teule ya Mhe. Rais ya kutathmini ufanisi na
utendaji wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki
wakiongozwa na Mwenyekiti, Balozi Mstaafu, Mhe. Hassan Yahya walipowatembelea
leo tarehe 20 Aprili, 2023 Bungeni Jijini Dodoma. Kuanzia Kushoto ni Mbunge wa
Viti Maalum, Mhe. Neema Lugangira, Mbunge wa Lupembe, Mhe. Edwin Swalle na Mbunge
wa Ukerewe, Mhe. Joseph Mkundi.
Sunday, April 2, 2023
Thursday, March 16, 2023
Wednesday, March 15, 2023
Tuesday, February 28, 2023
WAZIRI MKUU MAJALIWA AFUNGUA MAFUNZO YA KAMATI YA UONGOZI NA MAKAMU WENYEVITI WA KAMATI ZA KUDUMU ZA BUNGE TUNGUU, ZANZIBAR
Waziri Mkuu, Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Spika wa Bunge,
Mhe. Dkt. Tulia Ackson kabla ya kufungua mafunzo ya kamati ya uongozi na Makamu
Wenyeviti wa Kamati za Kudumu za Bunge katika ofisi ndogo za Bunge Tunguu, Zanzibar
Waziri Mkuu, Mhe. Kassim Majaliwa akifungua mafunzo ya kamati ya uongozi na Makamu Wenyeviti wa Kamati za Kudumu za Bunge yaliyofanyika leo tarehe 28 Februari, 2023 katika ofisi ndogo za Bunge Tunguu, Zanzibar, Kulia ni Spika wa Bunge, Mhe. Dkt. Tulia Ackson na Mkuu wa Mkoa wa Kusini Unguja, Mhe. Rashid Hadidi
Spika wa Bunge, Mhe. Dkt. Tulia Ackson akitoa neno la
kumkaribisha mgeni rasmi wakati wa ufunguzi wa mafunzo ya kamati ya uongozi na
Makamu Wenyeviti wa Kamati za Kudumu za Bunge uliofanyika leo tarehe 28
Februari, 2023 katika ofisi ndogo za Bunge Tunguu, Zanzibar, Kulia ni
Wajumbe wa Kamati ya uongozi na Makamu Wenyeviti wa Kamati za Kudumu wakishiriki katika ufunguzi wa mafunzo ya kamati hizo zilizofanyika leo tarehe 28 Februari, 2023 katika ofisi ndogo za Bunge Tunguu, Zanzibar
Waziri Mkuu, Mhe. Kassim Majaliwa akiwa katika picha ya pamoja na Kamati ya uongozi na Makamu Wenyeviti wa Kamati za Kudumu za Bunge mara baada ya kufungua mafunzo ya kamati ya uongozi na Makamu Wenyeviti wa Kamati za Kudumu za Bunge yaliyofanyika leo tarehe 28 Februari, 2023 katika ofisi ndogo za Bunge Tunguu, Zanzibar, Waliokaa Kulia kwake ni Spika wa Bunge, Mhe. Dkt. Tulia Ackson, Katibu wa Bunge, Ndg. Nenelwa Mwihambi, ndc (kulia), Mbunge wa Viti Maalum, Mhe. Riziki Lulida (kushoto) na Mkuu wa Mkoa wa Kusini Unguja, Mhe. Rashid Hadidi
Waziri Mkuu, Mhe. Kassim Majaliwa akiwa katika picha ya pamoja na Watumishi wa Ofisi ya Bunge mara baada ya kufungua mafunzo ya kamati ya uongozi na Makamu Wenyeviti wa Kamati za Kudumu za Bunge yaliyofanyika leo tarehe 28 Februari, 2023 katika ofisi ndogo za Bunge Tunguu, Zanzibar, Waliokaa Kulia kwake ni Spika wa Bunge, Mhe. Dkt. Tulia Ackson, Katibu wa Bunge, Ndg. Nenelwa Mwihambi, ndc (kulia), Mbunge wa Viti Maalum, Mhe. Riziki Lulida (kushoto) na Mkuu wa Mkoa wa Kusini Unguja, Mhe. Rashid Hadidi
Waziri Mkuu, Mhe. Kassim Majaliwa akisalimiana na Spika wa
Bunge, Mhe. Dkt. Tulia Ackson kabla ya kufungua mafunzo ya kamati ya
uongozi na Makamu Wenyeviti wa Kamati za Kudumu za Bunge yaliyofanyika leo
tarehe 28 Februari, 2023 katika ofisi ndogo za Bunge Tunguu, Zanzibar










