WELCOME TO TANZANIA NATIONAL ASSEMBLY OFFICIAL BLOG: CONTACT US: P.O.BOX 941 DODOMA, TANZANIA, WEBSITE: parliament.go.tz , FIND US ON FACEBOOK >>> www.facebook.com/bungetz1, FOLLOW US ON TWITTER >>> @bunge_tz.>>>KARIBUNI

Tuesday, February 28, 2023

WAZIRI MKUU MAJALIWA AFUNGUA MAFUNZO YA KAMATI YA UONGOZI NA MAKAMU WENYEVITI WA KAMATI ZA KUDUMU ZA BUNGE TUNGUU, ZANZIBAR


Waziri Mkuu, Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Spika wa Bunge, Mhe. Dkt. Tulia Ackson kabla ya kufungua mafunzo ya kamati ya uongozi na Makamu Wenyeviti wa Kamati za Kudumu za Bunge katika ofisi ndogo za Bunge Tunguu, Zanzibar



Waziri Mkuu, Mhe. Kassim Majaliwa akifungua mafunzo ya kamati ya uongozi na Makamu Wenyeviti wa Kamati za Kudumu za Bunge yaliyofanyika leo tarehe 28 Februari, 2023 katika ofisi ndogo za Bunge Tunguu, Zanzibar, Kulia ni Spika wa Bunge, Mhe. Dkt. Tulia Ackson na Mkuu wa Mkoa wa Kusini Unguja, Mhe. Rashid Hadidi




Spika wa Bunge, Mhe. Dkt. Tulia Ackson akitoa neno la kumkaribisha mgeni rasmi wakati wa ufunguzi wa mafunzo ya kamati ya uongozi na Makamu Wenyeviti wa Kamati za Kudumu za Bunge uliofanyika leo tarehe 28 Februari, 2023 katika ofisi ndogo za Bunge Tunguu, Zanzibar, Kulia ni Waziri Mkuu, Mhe. Kassim Majaliwa na Mkuu wa Mkoa wa Kusini Unguja, Mhe. Rashid Hadidi.




Wajumbe wa Kamati ya uongozi na Makamu Wenyeviti wa Kamati za Kudumu wakishiriki katika ufunguzi wa mafunzo ya kamati hizo zilizofanyika leo tarehe 28 Februari, 2023 katika ofisi ndogo za Bunge Tunguu, Zanzibar




Waziri Mkuu, Mhe. Kassim Majaliwa akiwa katika picha ya pamoja na Kamati ya uongozi na Makamu Wenyeviti wa Kamati za Kudumu za Bunge mara baada ya kufungua mafunzo ya kamati ya uongozi na Makamu Wenyeviti wa Kamati za Kudumu za Bunge yaliyofanyika leo tarehe 28 Februari, 2023 katika ofisi ndogo za Bunge Tunguu, Zanzibar, Waliokaa Kulia kwake ni Spika wa Bunge, Mhe. Dkt. Tulia Ackson, Katibu wa Bunge, Ndg. Nenelwa Mwihambi, ndc (kulia), Mbunge wa Viti Maalum, Mhe. Riziki Lulida (kushoto) na Mkuu wa Mkoa wa Kusini Unguja, Mhe. Rashid Hadidi



Waziri Mkuu, Mhe. Kassim Majaliwa akiwa katika picha ya pamoja na Watumishi wa Ofisi ya Bunge mara baada ya kufungua mafunzo ya kamati ya uongozi na Makamu Wenyeviti wa Kamati za Kudumu za Bunge yaliyofanyika leo tarehe 28 Februari, 2023 katika ofisi ndogo za Bunge Tunguu, Zanzibar, Waliokaa Kulia kwake ni Spika wa Bunge, Mhe. Dkt. Tulia Ackson, Katibu wa Bunge, Ndg. Nenelwa Mwihambi, ndc (kulia), Mbunge wa Viti Maalum, Mhe. Riziki Lulida (kushoto) na Mkuu wa Mkoa wa Kusini Unguja, Mhe. Rashid Hadidi



Waziri Mkuu, Mhe. Kassim Majaliwa akisalimiana na Spika wa Bunge, Mhe. Dkt. Tulia Ackson kabla ya kufungua mafunzo ya kamati ya uongozi na Makamu Wenyeviti wa Kamati za Kudumu za Bunge yaliyofanyika leo tarehe 28 Februari, 2023 katika ofisi ndogo za Bunge Tunguu, Zanzibar


 

No comments:

Post a Comment