WELCOME TO TANZANIA NATIONAL ASSEMBLY OFFICIAL BLOG: CONTACT US: P.O.BOX 941 DODOMA, TANZANIA, WEBSITE: parliament.go.tz , FIND US ON FACEBOOK >>> www.facebook.com/bungetz1, FOLLOW US ON TWITTER >>> @bunge_tz.>>>KARIBUNI

Wednesday, March 30, 2016

SPIKA JOB NDUGAI AKUTANA NA CHAMA CHA MABENKI TANZANIA (TBA)


Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Job Ndugai akiongea na viongozi wa Chama cha Mabenki Tanzania (TBA) wakati walipomtembelea ofisini kwake 30 Machi, 2016 jijini Dar es Salaam.


Naibu Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Tulia Ackson akiongea na viongozi wa Chama cha Mabenki Tanzania (TBA) wakati walipomtembelea Spika ofisini kwake 30 Machi, 2016 jijini Dar es Salaam.


Mmoja wa Viongozi wa Chama cha Mabenki (TBA) Bwana Neech Msuya (kushoto) akifafanua jambo mbele ya Spika Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Job Ndugai (hayupo pichani) wakati walipomtembelea ofisini kwake 30 Machi, 2016 jijini Dar es Salaam.


Mmoja wa wajumbe wa Chama cha Mabenki (TBA) Bwana Shani Kinswaga (kushoto) akifafanua jambo mbele ya Spika Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Job Ndugai (hayupo pichani) wakati walipomtembelea ofisini kwake 30 Machi, 2016 jijini Dar es Salaam.
(Picha zote na Benedict Liwenga)

No comments:

Post a Comment