WELCOME TO TANZANIA NATIONAL ASSEMBLY OFFICIAL BLOG: CONTACT US: P.O.BOX 941 DODOMA, TANZANIA, WEBSITE: parliament.go.tz , FIND US ON FACEBOOK >>> www.facebook.com/bungetz1, FOLLOW US ON TWITTER >>> @bunge_tz.>>>KARIBUNI

Saturday, April 2, 2016

WABUNGE BARANI AFRIKA WAKUTANA NA KUJADILI NAMNA NCHI ZA AFRIKA ZINAVYOWEZA KUPINGA BIASHARA HARAMU YA SILAHA.

Naibu Spika wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Tulia Ackson akiwahutubia baadhi ya Wabunge kutoka nchi mbalimbali za Afrika wakati wa Mkutano wa kujadili namna gani nchi za Afrika zinavyoweza kupinga biashara haramu ya silaha, leo Jijini Dar es Salaam.


Naibu Katibu Mkuu, Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Kikanda na Kimataifa, Mhe. Balozi Ramadhani Mwinyi akiwahutubia baadhi ya Wabunge kutoka nchi mbalimbali za Afrika wakati wa Mkutano wa kujadili namna gani nchi za Afrika zinavyoweza kupinga biashara haramu ya silaha, leo Jijini Dar es Salaam.
Mratibu kutoka Umoja wa Mataifa Bwana Alvaro Rodriguez akiwahutubia baadhi ya Wabunge kutoka nchi mbalimbali za Afrika wakati wa Mkutano wa kujadili namna gani nchi za Afrika zinavyoweza kupinga biashara haramu ya silaha, leo Jijini Dar es Salaam.

Naibu Spika wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Tulia Ackson (kulia) akiongea na Mkurugenzi wa Taasisi ya Parliamentarians for Global Action (PG) Bwana Peter Barcroft (kushoto) kabla ya kuanza kwa mkutano wa siku mbili (2-3Aprili, 2016) kujadili juu ya namna gani nchi za Afrika zinavyoweza kupinga biashara haramu ya silaha, oleo Jijini Dar es Salaam. Katikati ni Mbunge aliyemaliza muda wake na Mwanasheria, Mhe. Pindi Chana.


Baadhi ya Wabunge kutoka Afrika Mashariki, Magharibi na Kusini wakifuatilia mada katika mkutano huo uliohusu namna gani nchi za Afrika zinavyoweza kupinga biashara haramu ya silaha, leo Jijini Dar es Salaam.
(Picha zote na Ofisi ya Bunge)

No comments:

Post a Comment