WELCOME TO TANZANIA NATIONAL ASSEMBLY OFFICIAL BLOG: CONTACT US: P.O.BOX 941 DODOMA, TANZANIA, WEBSITE: parliament.go.tz , FIND US ON FACEBOOK >>> www.facebook.com/bungetz1, FOLLOW US ON TWITTER >>> @bunge_tz.>>>KARIBUNI

Monday, June 27, 2016

NAIBU SPIKA ALIPOSHRIKI MICHEZO MBALIMBALI UWANJA WA JAMHURI IKIWEMO KUOSHA MAGARI KA JILI YA KUWACHANGIA WAANDISHI BIMA YA AFYA

Naibu Spika wa Bunge Dkt. Tulia Ackson akishiriki Kampeni ya kuosha Magari kwa ajili ya kuchangia Waandishi wa Habari kupata Bima ya Afya (Media car wash) iliyofanyika katika uwanja wa Jamhuri Mjini Dodoma ambapo alichangia shilingi milioni tano.

Naibu Spika wa Bunge Dkt. Tulia Ackson akishiriki Kampeni ya kuosha Magari kwa ajili ya kuchangia Waandishi wa Habari kupata Bima ya Afya (Media car wash) iliyofanyika katika uwanja wa Jamhuri Mjini Dodoma ambapo alichangia shilingi milioni tano.

Naibu Spika wa Bunge Dkt. Tulia Ackson akishiriki Kampeni ya kuosha Magari kwa ajili ya kuchangia Waandishi wa Habari kupata Bima ya Afya (Media car wash) iliyofanyika katika uwanja wa Jamhuri Mjini Dodoma ambapo alichangia shilingi milioni tano.

Naibu Spika wa Bunge Dkt. Tulia Ackson akishiriki Kampeni ya kuosha Magari kwa ajili ya kuchangia Waandishi wa Habari kupata Bima ya Afya (Media car wash) iliyofanyika katika uwanja wa Jamhuri Mjini Dodoma ambapo alichangia shilingi milioni tano.

Naibu Spika wa Bunge Dkt. Tulia Ackson akishiriki Kampeni ya kuosha Magari kwa ajili ya kuchangia Waandishi wa Habari kupata Bima ya Afya (Media car wash) iliyofanyika katika uwanja wa Jamhuri Mjini Dodoma ambapo alichangia shilingi milioni tano.

Naibu Spika wa Bunge Dkt. Tulia Ackson akishiriki Kampeni ya kuosha Magari kwa ajili ya kuchangia Waandishi wa Habari kupata Bima ya Afya (Media car wash) iliyofanyika katika uwanja wa Jamhuri Mjini Dodoma ambapo alichangia shilingi milioni tano.

Naibu Spika wa Bunge Dkt Tulia Ackson akisalimiana na Wachezaji wa Bunge Sports Club kabla ya kuanza kwa mechi kati yao na Wachezaji wa Mtwara Vetreran. Mechi hiyo ilifanyika Uwanja wa Jamhuri Mjini Dodoma ambapo timu ya Bunge ilishinda goli 3-2.

Naibu Spika Dkt Tulia Ackson akishirikiana na Wabunge wengine wa Timu ya Bunge kuvuta kamba dhidhi ya timu ya Mtwara Veteran. Shindano hilo lilifanyika Uwanja wa Jamhuri Mjini Dodoma ambapo timu hizo zilitoka suluhu.

Naibu Spika wa Bunge Dkt Tulia Ackson akisalimiana na Wachezaji wa Mtwara Veteran kabla ya kuanza kwa mechi kati yao na Wachezaji wa Bunge Sports Club. Mechi hiyo ilifanyika Uwanja wa Jamhuri Mjini Dodoma ambapo timu ya Bunge ilishinda goli 3-2.

Naibu Spika wa Bunge Dkt Tulia Ackson akisalimiana na Wachezaji wa Bunge Sports Club kabla ya kuanza kwa mechi kati yao na Wachezaji wa Mtwara Vetreran. Mechi hiyo ilifanyika Uwanja wa Jamhuri Mjini Dodoma ambapo timu ya Bunge ilishinda goli 3-2.
Mwenyekiti wa Bunge Sports Club Mhe William Ngeleja (Mb) akimueleza Naibu Spika Dkt Tulia Ackson (kulia) kuhusu michezo mbalimbali iliyofanyika Uwanja wa Jamhuri Dodoma iliyohusisha timu ya Bunge ikiwemo Mpira wa miguu na mchezo wa kuvuta Kamba.


No comments:

Post a Comment